Azam TV inawameza wengine

Azam TV inawameza wengine

Anawameza ila hana content zaidi ya LIGI KUU..
Contents ni subjective, kuna watu hupenda hiki wengine kile, ila tafakari yafuatayo:

1. International contents, ana tv kubwa zote za duniani.

2. Ana tv zote kubwa za Afrika mashariki na kati

3. Ana channels 3 za filamu za kinaigeria

4. Ana special channel ya filamu za kitanzania ambayo kwa sasa inafanya vizuri sana

5. Ukiacha ligi ya Tanzania anatangaza ligi ya Kenya.Hapa sijamaliza kuhusu chaneli za miziki na filamu za kiingereza na kihindi.

Sasa sijui wewe ungependa contents gani zingine?
 
Na hii akiipata Azam, baaas shughuli hamna Tena, vifurushi vitaanzia 50

Ndo hapo, kupata ataweza kupata, ila wadau NYINYI mnaweza kuilipia kifurushi cha 100K?? Yeye anaangalia atarudishaje hyo pesa na faida atapataje??

Kwank DSTV tunalipiaje?
Mtu hulipia kitu anachopenda, mimi nalipa DSTV sababu ya Super Sport, nicheki game zangu pendwa Formula 1, EPL na UEFA.
 
Anawameza ila hana content zaidi ya LIGI KUU..
Contents ni subjective,kunacwatu hupenda hiki wengine kile,ila tafakari yafuatayo:
1.International contents,ana tv kubwa zote za duniani.
2.Ana tv zote kubwa za Afrika mashariki na kati
3.Ana channels 3 za filamu za kinaigeria
4.Ana special channel ya filamu za kitanzania ambayo kwa sasa inafanya vizuri sana
5.Ukiacha ligi ya Tanzania anatangaza ligi ya Kenya.Hapa sijamaliza kuhusu chaneli za miziki na filamu za kiingereza ba kihindi.Sasa sijui wewe ungeenda contents gani zingine?
UEFA na EPL ndipo DSTV wanapompiga bao.
Ni kweli but nahisi anawalia mission soon atapita navyo
 
Contents ni subjective,kuna watu hupenda hiki wengine kile,ila tafakari yafuatayo:
1.International contents,ana tv kubwa zote za duniani.
2.Ana tv zote kubwa za Afrika mashariki na kati
3.Ana channels 3 za filamu za kinaigeria
4.Ana special channel ya filamu za kitanzania ambayo kwa sasa inafanya vizuri sana
5.Ukiacha ligi ya Tanzania anatangaza ligi ya Kenya.Hapa sijamaliza kuhusu chaneli za miziki na filamu za kiingereza na kihindi.Sasa sijui wewe ungependa contents gani zingine?
hapo kwenye red ndo umemaliza kila kitu,,, na mimi nilitoa maoni yangu ndugu,,,, "subjectively" naweza sema kuwa AZAM TV ni "sub-set" ya DSTV na ni "opinion" yangu ,,, kwasababu hata wewe mwenyewe katika list yako hujajumuisha zile channel za "mbc" zinazonyesha filamu za zilipendwa...
 
hapo kwenye red ndo umemaliza kila kitu,,, na mimi nilitoa maoni yangu ndugu,,,, "subjectively" naweza sema kuwa AZAM TV ni "sub-set" ya DSTV na ni "opinion" yangu ,,, kwasababu hata wewe mwenyewe katika list yako hujajumuisha zile channel za "mbc" zinazonyesha filamu za zilipendwa...
Correct ila kwa maoni yangu Azam ameishawaacha dstv kwa mbali sana
 
Back
Top Bottom