Azam sijawaelewa

Azam sijawaelewa

Egwugu

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2011
Posts
17,558
Reaction score
8,552
Nimelipa kifurushi na huduma nimekosa tena kibaya zaidi najaribu kupiga simu naambiwa eti wakati huu wa mfungo huduma zinaanza saa 2-12:30, sasa mnaponitengenezea matatizo nyinyi wenyewe wakati sidaiwi na kifurushi kipya nimenunu juzi tu sasa leo mnaamua kunipa zile local tu wakati za kulipa mkiwa mmezitia lock mnataka mie mteja wenu niwaeleweje, na mie mda Wangu wa kurudi nyumbani ndo huu inamaana sitaweza kuwapata kwenye line mpaka mmalize mfungo?

Na kwanini huduma kama hii kweli mnaifunga wakati ni muda bado maema mno, kwanini walau msiwaweke hata watu 2 kwa ajiri ya kudeal na kesi za dharura kama langu ?

Naumia kwasababu muda wa mchana na mie nashinda kibaruani kama nyie na nikirudi ili tusaidiane nyie mnasema mda umeisha, sasa nisiende kibaruani ili tu nishinde nyumbani kwa ajiri ya jambo dogo kiasi hiki? haya bwana!
 
Wewe utakuwa ni MwanaSIMBA a.k.a Singano!

Ndugu yangu mambo ya maana tuache mizaha kwasababu tatizo halifumbuliwi na mizaha ya aina yako ..labda kama wewe ni mtani wangu sawa bwana
 
Nimelipa kifurushi na huduma nimekosa tena kibaya zaidi najaribu kupiga simu naambiwa eti wakati huu wa mfungo huduma zinaanza saa 2-12:30, sasa mnaponitengenezea matatizo nyinyi wenyewe wakati sidaiwi na kifurushi kipya nimenunu juzi tu sasa leo mnaamua kunipa zile local tu wakati za kulipa mkiwa mmezitia lock mnataka mie mteja wenu niwaeleweje, na mie mda Wangu wa kurudi nyumbani ndo huu inamaana sitaweza kuwapata kwenye line mpaka mmalize mfungo?

Na kwanini huduma kama hii kweli mnaifunga wakati ni muda bado maema mno, kwanini walau msiwaweke hata watu 2 kwa ajiri ya kudeal na kesi za dharura kama langu ?

Naumia kwasababu muda wa mchana na mie nashinda kibaruani kama nyie na nikirudi ili tusaidiane nyie mnasema mda umeisha, sasa nisiende kibaruani ili tu nishinde nyumbani kwa ajiri ya jambo dogo kiasi hiki? haya bwana!


Subiri Kidogo Mkuu Watakuona Baadae Kwani Bado Wanamalizia Kuhesabu Fedha Walizompa Leo Ramadhan Singano Messi. Vuta Subira Kidogo!
 
Subiri Kidogo Mkuu Watakuona Baadae Kwani Bado Wanamalizia Kuhesabu Fedha Walizompa Leo Ramadhan Singano Messi. Vuta Subira Kidogo!

Jaribu ku reset decoder to factory Settings. Hili tatizo hata mimi nililipata lakini nilihangaika sana kuwapata hawa waheshimiwa maustaaadh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom