wakikosi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2015
- 1,354
- 1,485
Azam media imeshakuwa media kubwa sasa lakini mimi hawanifurahishi na jambo moja tu, hawaoneshi mashindano ya club bingwa Ulaya (Uefa Champions league). Ninawaomba muwe mnatuletea live mashindano hayo.
Lakini pia kama mnaonesha mashindano fulani acheni kuonesha kwa kupitia ZBC2, ,maana channel hiyo mara ibada mara mpira sasa hata mtu unashindwa kufuatilia mpira vizuri.
Kwakweli nimechoka kuondoka nyumbani kwenda kucheki UCL kwenye media nyingine wakati ninyi azam naamini mnaweza kutuletea wateja wenu live UEFA champions league tukiwa na familia zetu nyumbani.
Lakini pia kama mnaonesha mashindano fulani acheni kuonesha kwa kupitia ZBC2, ,maana channel hiyo mara ibada mara mpira sasa hata mtu unashindwa kufuatilia mpira vizuri.
Kwakweli nimechoka kuondoka nyumbani kwenda kucheki UCL kwenye media nyingine wakati ninyi azam naamini mnaweza kutuletea wateja wenu live UEFA champions league tukiwa na familia zetu nyumbani.