Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,681
- 1,698
Kwanza hujiuliza 'chanel' ya UTV imejichomeka vipi? Zamani tulikuwa tukipata habari kupitia Azam 2 baada ya sekeseke la leseni ndipo huyu UTV akaonekana.
Kinachonishangaza sasa ni kitendo cha uongozi wa TV hii kuonesha EPL kupitia UTV ambayo wameifanya ya bure kwa maana hata kama hujalipia unaipata lakini ligi yetu huwezi iona mpaka ulipie ndipo upate hizo 'chanel' za michezo.
Akili gani hii?
Kinachonishangaza sasa ni kitendo cha uongozi wa TV hii kuonesha EPL kupitia UTV ambayo wameifanya ya bure kwa maana hata kama hujalipia unaipata lakini ligi yetu huwezi iona mpaka ulipie ndipo upate hizo 'chanel' za michezo.
Akili gani hii?