Prince Luanda
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 3,127
- 4,395
Nafikiri inaitwa "azam utv" badala ya "utv"
Kuna watu hawaelewi maaana ya Television ya Taifa manipa majukumu sio kabisa ,mtu alilaumu TBC kwa kuwa political biased nitamuelewa ,akilaumu kwa kutoonesha bunge live nitamuelewa lakini mpira?au burudani zingine mubashara siwezi kumuelewa kamwe!
n
Naanzaje kuangalia TBC? Feedbacks za kinachojiri TBC nazipata hapa jukwaani kupitia kwa Pascal Mayalla