Baada ya maneno mengi kutoka kwa wateja wa king'amuzi cha AZAM Kutokana na ubovu wa huduma zao baada ya kuzimwa kwa channel za FTA siku ya tarehe 15 wamezindua channel mpya ya UTV no 108 ambayo itakidhi vigezo vya ndani kama FTA channel yao.
Channel hii itaonyesha taarifa ya habari kuanzia tarehe 17 mwezi wasita pia itakuwa na vipindi vya burudani na vipindi vingine katika kuendelea kuboresha vipindi vyao
Kikubwa zaidi ni channel hii italeta mubashara michuano ya AFCON ambayo inatazamiwa kuanza mwezi huu wasita. Haya ni muendelezo maboresho wa huduma zao
Channel hii itaonyesha taarifa ya habari kuanzia tarehe 17 mwezi wasita pia itakuwa na vipindi vya burudani na vipindi vingine katika kuendelea kuboresha vipindi vyao
Kikubwa zaidi ni channel hii italeta mubashara michuano ya AFCON ambayo inatazamiwa kuanza mwezi huu wasita. Haya ni muendelezo maboresho wa huduma zao