Azam FC vs KCCA Live

Azam FC vs KCCA Live

Hawa Mafunzo 02/09/2014 ktk uwanja huu huu wa Amani tuliwafunga 4-3 kwa taabu saaana katka mechi ya kujiandaa na ligi.

Kipindi hicho tulikua full kikosi, phiri kakaa na timu kwa mda mrefu.

Sasa leo wachezaji wengi wa 1st eleven hawapo, kocha ana siku 2 na wachezaji, tunapata a "convincing" 1-0 win.. we have to keep our head up. Big up Goran, Big up Said Ndemla.
 
Kwa siku moja Goran amefanya kazi kubwa.. I see a bright future in him.. Sijui zingekuwepo injini zetu toka uganda ingekuwaje?! Mungu bariki Simba Sc.
Mngekuwa na injini zenu mungefungwa au kutoa sare, afadhali leo wamecheza wabongo wengi wameonesha moyo wa kujituma, simba ya ma-father si simba ni matatizo tu!!!!
 
Mngekuwa na injini zenu mungefungwa au kutoa sare, afadhali leo wamecheza wabongo wengi wameonesha moyo wa kujituma, simba ya ma-father si simba ni matatizo tu!!!!

Simba-TZ + Simba-UG = MAJANGA.
 
Mngekuwa na injini zenu mungefungwa au kutoa sare, afadhali leo wamecheza wabongo wengi wameonesha moyo wa kujituma, simba ya ma-father si simba ni matatizo tu!!!!

Injini zote zikiwa ndani, ndo uje na hii kauli. Kwa sasa inakua kama story za mitaani kua injini zetu toka uganda wanacheza chini ya kiwango.
 
Injini zote zikiwa ndani, ndo uje na hii kauli. Kwa sasa inakua kama story za mitaani kua injini zetu toka uganda wanacheza chini ya kiwango.
Wanaocheza chini ya kiwango sio ma-father bali ni wale wengine ambao hawapendi tabia ya wachezaji wenzao kupewa kipaumbele katika huduma kuliko wao.
Si umeona jana vijana akina SAID NDEMLA walivyokuwa wanacheza kwa furaha dhidi ya mafunzo!! sasa subir waje hao ma-father ndo utakuja kuujua ukweli wa hii kauli yangu, Simba -Uganda + Simba - Tanzania ni majanga tu.
 
Mngekuwa na injini zenu mungefungwa au kutoa sare, afadhali leo wamecheza wabongo wengi wameonesha moyo wa kujituma, simba ya ma-father si simba ni matatizo tu!!!!

Tutake radhi tangu lini Simba ikawa na mafather. Kama ni hivyo basi Yanga ina VIBABU
 
Tutake radhi tangu lini Simba ikawa na mafather. Kama ni hivyo basi Yanga ina VIBABU
Sijamaanisha wachezaji wenye umri mkubwa nimemaanisha wachezaji wanaolipwa fedha nyingi kuliko wengine, ma-father hapa namaanisha akina Okwi, Owino, Musheed, na Simon Sserunkuma.
 
Tutake radhi tangu lini Simba ikawa na mafather. Kama ni hivyo basi Yanga ina VIBABU

1. Mapunda - father
2. Baba Ubaya - father
3. Cholo - father
4. Kisiga - father
5. Okwi - father
6. Sserunkuma, D - father: just a few to mention.

Need I say more?
 
Sijamaanisha wachezaji wenye umri mkubwa nimemaanisha wachezaji wanaolipwa fedha nyingi kuliko wengine, ma-father hapa namaanisha akina Okwi, Owino, Musheed, na Simon Sserunkuma.

Hata umri uko sawa Mkuu, BBA kavurugwa na Kagera Sugar na kushindwa kuutambua ukweli huu.
 
Last edited by a moderator:
Ratiba ya leo ikoje wakuu?
Ratiba ya mapinduzi cup leo Jumapili tar. 04/01/2015.
KCCA vs MTENDE saa 9:00 alasiri uwanja wa Amani, AZAM FC vs KMKM saa 11:00 jioni uwanja wa Amani, SHABA vs TAIFA JANG'OMBE saa 11:00 uwanja tofauti na Amani, YANGA vs POLISI ZANZIBAR saa 2:15 uwanja wa Amani. Mechi zote zitakuwa LIVE kupitia azamtv kwenye azam two...
 
Ratiba ya mapinduzi cup leo Jumapili tar. 04/01/2015.
KCCA vs MTENDE saa 9:00 alasiri uwanja wa Amani, AZAM FC vs KMKM saa 11:00 jioni uwanja wa Amani, SHABA vs TAIFA JANG'OMBE saa 11:00 uwanja tofauti na Amani, YANGA vs POLISI ZANZIBAR saa 2:15 uwanja wa Amani. Mechi zote zitakuwa LIVE kupitia azamtv kwenye azam two...

Asante sana mkuu.
 
Dk ya 74, KCCA 3-0 MTENDE...
 
mechi ya yanga vs polisi ni saa 11 alafu azam fc vs kmkm ndo saa 2:15 usiku
 
Back
Top Bottom