Azam FC vs KCCA Live

Azam FC vs KCCA Live

Asante mkuu mkolaj kwa updates

Mkuu mkolaj asante sana kwa updates murua kabisa. Fahamu kwamba mikia wamechukizwa sana na huu ushindi wa Timu ya Wananchi, wamenuna kiasi cha kupasuka: Mimi nawaambia 'mwenye wivu akajinyonge'. Treni limekata breki litagonga chochote (including Simba) kitakachokatiza mbele yake.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu mkolaj asante sana kwa updates murua kabisa. Fahamu kwamba mikia wamechukizwa sana na huu ushindi wa Timu ya Wananchi, wamenuna kiasi cha kupasuka: Mimi nawaambia 'mwenye wivu akajinyonge'. Treni limekata breki litagonga chochote (including Simba) kitakachokatiza mbele yake.
Ahsante sana nawe kwa ushirikiano wako na leo tena tuwe karibu na tv zetu kufuatilia mpambano kati ya mikia fc au ukipenda kuwaita "wazee wa droo" dhidi ya mafunzo ya zanzibar mchezo utakaopigwa mishale ya saa 11:00 jioni....
 
Last edited by a moderator:
Mikia wakipigwa leo out,sijui kitanukaje pale kwenye jengo lao lisilo na choo!
 
Ahsante sana nawe kwa ushirikiano wako na leo tena tuwe karibu na tv zetu kufuatilia mpambano kati ya mikia fc au ukipenda kuwaita "wazee wa droo" dhidi ya mafunzo ya zanzibar mchezo utakaopigwa mishale ya saa 11:00 jioni....

Pamoja sana Mkuu. Nahisi leo mikia watapata ushindi mwembamba ili kuweka mambo sawa.
 
Game ya mtibwa vs Jku inaelekea kuisha kwa sare, dk ya 85 jku 1-1 mtibwa
 
Mpira umemalizika katika uwanja huu wa Amani hapa zanzibar kwa timu za mtibwa suger na JKU kutoka sare ya kufungana goli moja kwa moja.....JKU 1-1 MTIBWA
 
Timu zinaingia uwanjani kati ya simba ya dar es salaam dhidi ya mafunzo ya zanzibar.....
 
Mpira umeanza hapa uwanja wa Aman, simba 0-0 mafunzo
 
Mpira umeanza kwa kasi kwa timu zote, dakika ya 5 simba 0-0 mafunzo
 
Dk ya 15 simba 0-0 mafunzo
 
Back
Top Bottom