Azam FC vs KCCA Live

Azam FC vs KCCA Live

Coutinho na dilunga out, javu na niyonzima in
 
Hivi ni yanga na jang'ombe au azam v kcca?ratiba niliyoiona jana baada ya mnyama kupakatwa na mitibwa sukar ni azam v kcca leo!naomba kuwekwa sawa
 
Dk ya 76 yanga 3-0 jang'ombe
 
Gooooooool kpah sherman anaweka mpira wavuni, yanga 4-0 taifa jang'ombe
 
Mpira umemalizika hapa uwanja wa Aman Yanga imechomoka na ushindi wa goli 4-0 dhidi ya taifa jang'ombe....goli zimewekwa wavuni na Simon msuva(goal 3) na kpah sherman(goal 1), ahsante sana timu ya wananchi dar young africans.
 
Mpira umemalizika hapa uwanja wa Aman Yanga imechomoka na ushindi wa goli 4-0 dhidi ya taifa jang'ombe....goli zimewekwa wavuni na Simon msuva(goal 3) na kpah sherman(goal 1), ahsante sana timu ya wananchi dar young africans.
Asante mkuu mkolaj kwa updates
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom