adakiss23
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 4,896
- 5,258
Ok, wakazane wasifanye makosa vinginevyo Omog wanamuweka msalabani kama Phiri alivyoangikwa.
Yaelekea Phiri amekunyima usingizi sana.
Ok, wakazane wasifanye makosa vinginevyo Omog wanamuweka msalabani kama Phiri alivyoangikwa.
Yaelekea Phiri amekunyima usingizi sana.
Goooooooooool azam 1-1 kcc, Wadri william anaipatia kcc goli la kusawazisha
GOOOOOOOL Sure boy anaipatia azam goli la pili, azam 2-1 kcc
Asante sana. Simba (Phiri) - (Maximo) Yanga; mechi ni draw! Au unasemaje Mkuu?
Ndiyo kaninyima sana usingizi, akiwepo hatuwezi kuifunga Simba. Subiri tukutane sasa uone tunavyopeleka msiba Msimbazi.
Hata mimi nimemiss kufungwa na Yanga. Hivi mna mpango wa kutufunga lini?
Madeni yanaongezeka
Nilisema mapema sana!
Hivi mikia ndo walikalia muwa mmoja?
Hakuna cha deni hapo, tumewafunga mechi zaidi ya 5. Ninyi ndio mnalipa madeni. Tumeenda Zbar kamili ili tukutane nanyi, komaeni tukutane tuwashikishe adabu.
Hata mimi nimemiss kufungwa na Yanga. Hivi mna mpango wa kutufunga lini?
Madeni yanaongezeka
Hivi VPL imesimama tena kupisha hili bonanza?
mungu sio zitto kabwe,wala Mama Tibaijuka, dua zako hazitimii!!