Yanga wapo mbele kwa goli moja lililowekwa kimiani na simon msuva,
dk ya 36 kipindi cha kwanza
itaisha gemu itaisha droo iyo
Mpira ni mapumziko, yanga 1-0 taifa jang'ombe
pole yako mtani jembe
Goooooooooool msuva 2-0 jang'ombe
Simon Msuva ameiva kwa sasa ni wakati wake kuamia Simba ili apate tiketi ya kucheza nje