Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,490
- 2,104
Goooooooooooool, azam 2-2 kcc Masiko thomas anaisawazishia kcc.....dk ya 73
Nilisema mieeee...!
Goooooooooooool, azam 2-2 kcc Masiko thomas anaisawazishia kcc.....dk ya 73
Kadi ya manjano kwa masiko tom, dk ya 84
90+2 Bado azam 2-2 kcc
hapo umenigusa,sio haka ka mechi ka ajabuajabuWameponea chupuchupu, tukutane tena kesho kwenye chama la wananchi, itakuwa saa ngapi vile?
Mpira umemalizika uwanja wa amani azam fc 2-2 kcc
hapo umenigusa,sio haka ka mechi ka ajabuajabu
Goooooooooooool, azam 2-2 kcc Masiko thomas anaisawazishia kcc.....dk ya 73
Sio kesho mkuu Makoye Matale, ni leo saa 2:15 usiku kwenye uwanja wa Amani, karibu sana tuone nini watafanya hawa vijana wa jangwani dhidi ya timu ya taifa jang'ombe....Wameponea chupuchupu, tukutane tena kesho kwenye chama la wananchi, itakuwa saa ngapi vile?
Sio kesho mkuu Makoye Matale, ni leo saa 2:15 usiku kwenye uwanja wa Amani, karibu sana tuone nini watafanya hawa vijana wa jangwani dhidi ya timu ya taifa jang'ombe....
Sio kesho mkuu Makoye Matale, ni leo saa 2:15 usiku kwenye uwanja wa Amani, karibu sana tuone nini watafanya hawa vijana wa jangwani dhidi ya timu ya taifa jang'ombe....
Usijali mkuu, mimi tena na yanga!!!!!!!