Azam FC vs KCCA Live

Wanaozimia ni mikia wanaojifanya Yanga, nilishalieleza hili sihitaji kulirudia sana.

Hadi mbumbumbu azimie itakuwa kapata akili na uelewa. Wanazimia wanaojitambua, chizi azimie kwa lipi?
Mkuu, hata wapenda timu ya wananchi wakizimia poa tu. Inaonyesha feelings kwa timu yao!
 
tatizo hamchelewi kuzimia ovyo bora mcheze na hao hao wabovu wenzenu

Mkuu Makoye kishakujibu, wale huvaa jezi za Yanga na upande wa Yanga ila ni simba wale.
Ili tuonekane Yanga wengi wamezimia!!! Karibu Yanga brave one
 
Last edited by a moderator:
Hadi mbumbumbu azimie itakuwa kapata akili na uelewa. Wanazimia wanaojitambua, chizi azimie kwa lipi?
Mkuu, hata wapenda timu ya wananchi wakizimia poa tu. Inaonyesha feelings kwa timu yao!

CC. brave one, unasemaje kwa hoja hii?
 
Last edited by a moderator:
Kipindi cha pili kinaanza
 
Wanaozimia ni mikia wanaojifanya Yanga, nilishalieleza hili sihitaji kulirudia sana.

Hadi mbumbumbu azimie itakuwa kapata akili na uelewa. Wanazimia wanaojitambua, chizi azimie kwa lipi?
Mkuu, hata wapenda timu ya wananchi wakizimia poa tu. Inaonyesha feelings kwa timu yao!
 
Gooooooool, coutinho tena ndani ya nyavu. yanga 3-0 polisi
 
Weraaaaaaaaaaaaaaaaa, msuvaaaaaaaaaa yanga 4-0 polisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…