Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 9,871
- 32,689
Asante sana Mkuu kwa kuipenda Yanga, Timu ya Wananchi.
Pamoja mkuu Makoye Matale, mimi na Yanga ni damudamu. Naipenda Yanga kupitiliza.
Last edited by a moderator:
Asante sana Mkuu kwa kuipenda Yanga, Timu ya Wananchi.
tatizo hamchelewi kuzimia ovyo bora mcheze na hao hao wabovu wenzenu
Pamoja mkuu Makoye Matale, mimi na Yanga ni damudamu. Naipenda Yanga kupitiliza.
Wanaozimia ni mikia wanaojifanya Yanga, nilishalieleza hili sihitaji kulirudia sana.
tatizo hamchelewi kuzimia ovyo bora mcheze na hao hao wabovu wenzenu
Hadi mbumbumbu azimie itakuwa kapata akili na uelewa. Wanazimia wanaojitambua, chizi azimie kwa lipi?
Mkuu, hata wapenda timu ya wananchi wakizimia poa tu. Inaonyesha feelings kwa timu yao!
Kipindi cha pili kinaanza
Ngoja tuone kipindi cha pili nini kinaendelea..
Wanaozimia ni mikia wanaojifanya Yanga, nilishalieleza hili sihitaji kulirudia sana.
Gooooooool, coutinho tena ndani ya nyavu. yanga 3-0 polisi
Msuvaaaaa 4- 0