Hapa mkuu Makoye Matale, nimerudi ndan ya nyumba, nilikuwa na majukumu.
Huyu mchezaji Amour Omary Janga anakosa kufunga goli yeye na kipa....
Dk ya 70 simba 1-0 jku
iko siku ataimba na mtanyamazahuyu mrisho mpoto wa simba hamna kitu kabisa yaan ni afadhali ya jaja...
kila shetani na mbuyu wake, Gor Mahia alikua na wapishi.....................Mi namwona mzuri ila hawajamjulia jinsi ya kumpa mpira, ana nguvu na stamina pia