Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,053
- 15,515
Habari wanajukwaa.
Hivi karibuni kumekuwa na mvutano wa mamlaka ya Mawasiliano TCRA na Warusha matangazo kwa njia ya Terrestrial na Satellite kwa Maana ya Wamiliki wa Ving'amuzi Vya Tanzania ambavyo ni Azam, Star media, Continental, Digitek, Ting na Multichoice (DStv)
Mvutano huu nadhani ni matokeo ya watanzania kulalamikia kulipishwa huduma ya Channel za bure. Ikumbukwe mara kadhaa mamlaka ya mawasilino imetoa notisi ikiwataka warusha matangazo kuto kutoza pesa kwa channel za bure
Hivi karibuni TCRA imetoa notisi ya nia ya kutaka kufuta leseni za kurusha matangazo baada watoa huduma kukaidi agizo la mamlaka.
Mimi binafsi nimekuwa nikfuatilia kwa karibu Sakata hili. Ila hatimae nimeona AZAM wameona wazitoe Channels za Bure isipokuwa TBC1. Tv kama ITV, Star TV, Ch. 10 na nyingine baadhi ambazo ni za maudhui ya bure hazionekani. Hivyo imebaki TBC1, Wasafi TV na ZBCs ndio zinaonekana.
Kwa maana rahisi AZAM naona anatekeleza Agizo la kurusha FTA Bure bila kulipia ila sasa amezitoa hizo channel nyingine kwenye King'amuzi chake.
Kwa maana hiyo Ukiwa umeishiwa kifurushi ukiwa na na AZAM Decoder utaweza kuona TBC may be na Wasafi na labda ZBCs ila sahau kuhusu izo channels nyingine Local
"TCRA wamemwaga Ugali, Azam wamemwaga mboga"
View attachment UFAFANUZI_KUONDOA FTA_DTH - August, 2018.pdf
Hivi karibuni kumekuwa na mvutano wa mamlaka ya Mawasiliano TCRA na Warusha matangazo kwa njia ya Terrestrial na Satellite kwa Maana ya Wamiliki wa Ving'amuzi Vya Tanzania ambavyo ni Azam, Star media, Continental, Digitek, Ting na Multichoice (DStv)
Mvutano huu nadhani ni matokeo ya watanzania kulalamikia kulipishwa huduma ya Channel za bure. Ikumbukwe mara kadhaa mamlaka ya mawasilino imetoa notisi ikiwataka warusha matangazo kuto kutoza pesa kwa channel za bure
Hivi karibuni TCRA imetoa notisi ya nia ya kutaka kufuta leseni za kurusha matangazo baada watoa huduma kukaidi agizo la mamlaka.
Mimi binafsi nimekuwa nikfuatilia kwa karibu Sakata hili. Ila hatimae nimeona AZAM wameona wazitoe Channels za Bure isipokuwa TBC1. Tv kama ITV, Star TV, Ch. 10 na nyingine baadhi ambazo ni za maudhui ya bure hazionekani. Hivyo imebaki TBC1, Wasafi TV na ZBCs ndio zinaonekana.
Kwa maana rahisi AZAM naona anatekeleza Agizo la kurusha FTA Bure bila kulipia ila sasa amezitoa hizo channel nyingine kwenye King'amuzi chake.
Kwa maana hiyo Ukiwa umeishiwa kifurushi ukiwa na na AZAM Decoder utaweza kuona TBC may be na Wasafi na labda ZBCs ila sahau kuhusu izo channels nyingine Local
"TCRA wamemwaga Ugali, Azam wamemwaga mboga"
View attachment UFAFANUZI_KUONDOA FTA_DTH - August, 2018.pdf
