Azam decoder wamezima channel za bure (FTA)

Azam decoder wamezima channel za bure (FTA)

Startames wao walikuwa wanaonyesha loko chanel bure tangia muda mrefu tuu, wana vingamuzi vyaaina mbili kuna vilivyo unganishwa na loko chanel alafu kuna ambavyo havijaunganishwa.
 
Ving'amuzi wanafanya biashara wanalipia kodi pia

kutaka kuonyeshwa kwa chaneli hzo nyingne zisizokua za kibiashara bure ni upendeleo clouds,chanel 10 waoneshwe bure kwenye ving'amuz ambavyo wenzao wanaumia ni ngumu
 
Wananchi tunataka Analogue irejeshwe faster naona watu wameshiba pesa ile mbaya Faida ya Anaolgue muonekano wa Picture ni clear sana sio kama kwenye decoder zao mbovu mbaya na decoder pia zinamaliza umeme wetu usio hitajika
 
Naona TCRA wameamua kuhangaika na wapenda vya bure.
Kuangalia TV, is not a basic human need. Asiye na uwezo wa kulipia akaangalie TV kwa jirani au asikilize radio.
Mambo ya dezo ndio yaliua mashirika ya umma, tukiyaendekeza yataua na mashirika binafsi.
Hongera sana kwako wewe mwenye Neema tele, Lakini vidole havilingani
 
Taarifa ya habari Azam Two hakuna, then wanaenda mbele zaidi wanatoa ITV..... DSTV itanihusu sasa
Nilikuwa siikosi taarifa ya habari saa 23:00 Azam two, Sijui wamekumbwa na nini hawa Azam, au wanafikiri wote tunapenda hizo tamthilia zao?
 
Miye nashukuru haswaa!maana chanel za bongo zilikua zinanichosha na matangazo yao ya ajabu
 
Nilikuwa na AZAM na Startime
Jana startime ikabidi nilipie nisikose habari
 
Hata Kama Ni Mimi ndo mmliki wa Ving'amuzi. Nitazitoa kabisa hata TBC na Yenyewe... Asilimia 90 ya watanzania hawawezi wakawa wanaangalia Chaneli za Nje kwahiyo mimi Kuziweka Chaneli za Ndani Bure ni Hasara Tupu
 
Yani leo hata hiyo wasafi tv haionyeshi kudadeki kweli hii ndio tz
 
Back
Top Bottom