Unamjua mwalimu Maleko wa biology wewe?
Unamjua Mr Warioba wa civics wewe?
Unamkumbuka mama tery wa biology?
Nimekula sana jolo kwa mama mchwa kupitia CHAJOA wakati wa kamanda Mr Kwayu.
Ndo nyie mlipigea pale magomen tuition hadi mkanya ama??[/QUO
Mwaka gani huo?
Then I know nuthinbout it ! and my guess is total ----!Kumbukaaaaaaaa vzuriiiiii...hata nyimbo ya shule sikumbuk yote.....ila nyie end of da day watu waliwachoka.....
sikuwahi opolewa mkuu nilikuwa muoga sana. Tution nilikuwa nasoma forodhani sec kabla haijawa st Joseph.Wew hauku opolewa na mchuch wa Aza boy, ww
Niliwai gonganisha magali pale jangwani kama wapo hapa wana jijua.Wale wa loyola mpo apa....