Tajirimsomi
JF-Expert Member
- Jan 12, 2017
- 4,824
- 5,561
Iyo alama c ni ya kazi gani
Source:fb
Note:sio kwamba sijui ila nawachallenge
Ok, ukimaliza kutu challenge utatufahamisha ili tukwambie kazi yake..
Iyo alama c ni ya kazi gani
Source:fb
Note:sio kwamba sijui ila nawachallenge
Hiyo hutumika kwenye milima mikali ina nguvu sana sawa na kuweka rivers
Itakuwa dictionary imemchagulia neno bila yeye kukagua.Kweli!?
Hiyi ni crawler gear...hiyouki engage unaweka tofali kwa accelerator unatulia, gari inaweza panda hata mti
Brother ww inaonesha umejifunzia safarini aya mambo maana madereva waliojifunzia safarini karibu wote wanaiita COROLA habari za CRAWLER hawana mda nazo na wengine wanajua tu hii ni C what does it mean hawaitaji kujua..COROLA hiyo ndio gia ya mwisho kuitimia baada ya namba moja pindi gari inapopanda mlima.Huwa ina nguvu zaidi ya namba moja,ukiwa umeitumia na ngoma inagoma kupanda,hapo lazima uwe na bonge la gogo kuweka tena kwa haraka ili isichanganye kurudi nyuma.