Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,402
- 5,527
Kwahyo matokeo yakiwa submitted tu siwezi kupata AVN nkiomba..?Fatilieni matokeo maana nacte nao huwa wazembe..kuna watu nilimaliza nao mwaka jan hawakupata avn wakapata mwaka huu..lakn ukifuatlia mapema wanakusaidia mapema..maana muda wa kuapply second round ni mchache
Hapo lolote linaweza kutokea,ni kujichanga tu.Ikishindikana online ni kutimba ofisini kwao,makao makuu dar es salaam...!Kwahyo matokeo yakiwa submitted tu siwezi kupata AVN nkiomba..?
Papo hapo hata dkika 5 hazikupita.Umepewa muda wa masaa mangapi kusubiri verification ya hiyo process uliyoifanya kwa huyo Dogo..?
Kuna dogo nimemsaidia bure na kapata AVN yake ndani ya dk3.Ukienda nacte ni elfu kumi but ukifanya online umaambiwa ulipie elf 20
Kuna dogo nimemsaidia bure na kapata AVN yake ndani ya dk3.
Hiyo elfu 20 ya nini?
Kama Ni control number kulipia 10k
Free,Hv nyie mbona mnatudanganya, Mara bure Mara elfu 20 Mara elfu 10..
Kuweni wakweli basi
Mkuu, nami naomba msaada uniulizie namba yangu.. Naona Bado hawajaconfirm.Kesho naingia ofisi zao apo, makao makuu
Mkuu, nami naomba msaada uniulizie namba yangu.. Naona Bado hawajaconfirm.
So nataka wakofeni niombe AVN
Kumbe inabidi uanze na N not S pekee..!!Be informed that your verification took more time than expected due to the following:-
1. Submitted attachments are not relevant for us to proceed with this verification.
Advised to confirm them and reload/update from your profile. OR
2. Required Data/Information from awarding institution was not submitted to NACTE.
Advised to remind them while NACTE is doing the same.
Sorry for any inconveniences cause...
Wengi wanakosea kujaza na wanapata hizo taarifa...kwenye registration number au index anza na NS mfano NS1189/0012/2012..ya mwanzo ni centre number ya shule,inayofuata ni form four index number then number ya kugraduate..wengi huwa mnakosea pale kwny kujaza diploma registration number..jaz ukianza na NS..
Unalipia coz kwa mimi nilivyi giregister nilipewa masaa 120 baada ya hapo nikapewa control no unaandikiwa kabisa kiasi ni sh 20000Mliopata AVN mwaka huu hebu tujuzeni,,, mlipata bure au mlilipia fedha..?
Basi ni wewe tu.. Me nimelipa mitenUnalipia coz kwa mimi nilivyi giregister nilipewa masaa 120 baada ya hapo nikapewa control no unaandikiwa kabisa kiasi ni sh 20000
Mm nilifanikiwa... ukisha upload unasubiri ndani ya cku tano then wanakutumia msg km matokeo yko yapo tayar pamoja na control namba unalipia elfu 10 then ukiingia kwenye account unakuta kila kitu tayarUshajisajiri tayari NACTE kuomba hii AVN na kama ulifanikiwa kupata AVN.?
Ata mimi natatizo kama lako haise nacte na vyuo vinazinguaNiwapongeze sana nyote wenye avn mkononi mpaka dakika hii...!Hii kitu ni pasua kichwa aisee...!Hapa nadhani kuna shida mahala,si bure.Jinsi mchakato unavyo endeshwa mpaka ipatikane AVN,either mfumo unao tumika pamoja watu husika kwa maana ya vyuo na Nacte no one wants to be responsible.Kuna muda Nacte wanasema vyuo vinachelewa kutuma matokeo,wakati mwingine chuo wanasema walishatuma matokeo.Hivyo kama muhitimu unabaki katikati,ujui nini la kufanya.In this matter,kwa sehemu kubwa sana vyuo havipeleki matokeo kabisa Nacte.Hii nime prove kwa chuo nilipo somea,hawakuwa na mpango wa kutuma matokeo,tumepambana nao kwelikweli.Mpaka wamenyooka na sasa wamepeleka hayo matokeo.Kwa upande wa pili,nisijue Nacte wanakwama wapi.Maelekezo yao ilikuwa kila chuo kinachotoa diploma holders lazima kila matokeo ya semester,yawe uploaded kwenye mfumo wa Nacte ili yawe verified on time.Matokeo yake vyuo havifanyi hivyo,mwanafunzi anapiga miaka yake mitatu au miwili anamaliza na matokeo yake hayasomeki hata ya semester moja kwenye system ya Nacte.Nacte wapo na ni jukumu lao kuvisimamia hivi vyuo ikiwemo na kuhakikisha vina upload matokeo kama maelekezo yao yanavyo elekeza.Kwa wale ambao hamjapata hii AVN kama mimi,mzidi kupambana hasa komaeni na vyuo.Wale wanao kwenda Nacte moja kwa moja na kupewa AVN,matokeo yao yanakuwa tiyari yapo kwenye system yao.Inaweza kuwa sababu za kiufundi yakawa hayasomeki katika njia ya kawaida lakini wao wakicheki wanayaona.Kila laheli.....!
Ata kama chuo akija tuma matokeo je unapata uki apload??Mm nilifanikiwa... ukisha upload unasubiri ndani ya cku tano then wanakutumia msg km matokeo yko yapo tayar pamoja na control namba unalipia elfu 10 then ukiingia kwenye account unakuta kila kitu tayar