Award Verification Number (AVN) updates

Fatilieni matokeo maana nacte nao huwa wazembe..kuna watu nilimaliza nao mwaka jan hawakupata avn wakapata mwaka huu..lakn ukifuatlia mapema wanakusaidia mapema..maana muda wa kuapply second round ni mchache
Kwahyo matokeo yakiwa submitted tu siwezi kupata AVN nkiomba..?
 
Umepewa muda wa masaa mangapi kusubiri verification ya hiyo process uliyoifanya kwa huyo Dogo..?
Papo hapo hata dkika 5 hazikupita.

Ukiona umepewa kusubiri masaa 12000 ujue Kuna sehemu 'unachemsha' katika ujazaji au matokeo yako hayajawa confirmed!
 
Kumbe inabidi uanze na N not S pekee..!!
 
AVN ni kasheshe we acha tu hawa jamaa hawapo serious mi nlilipa mara 3 ndo nikapata. Tena vyuo vya nje ndo wanasumbua balaa
 
Ata mimi natatizo kama lako haise nacte na vyuo vinazingua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…