Awamu ya tano ni chachu ya uharaka wa Katiba Mpya

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
12,298
12,599
Hakuna mtanzania mpenda haki anayetamani kuona katiba hiihii tuliyonayo inakutwa na kutumiwa na kiongozi anaefanana hata kwa nusu tu na yule kiongozi wa awamu ya tano (RIP).

Awamu ile ni sawa na kusema kuwa nchi ilikuwa imetekwa na watu kutoka sayari nyingine. Ni katiba ambayo kila mtu anasubiri busara za Rais tu baaasi. Ni awamu ambayo hata Mlandizi inaweza kuwa mkoa kamili.

Woga wetu sisi wengine unasababishwa na kile kilichotokea kwenye awamu ileee ya wanaharakati huru. Hatujaagana na nyonga, sisi tunapanga na Mungu anapanga, watanzania wote bila kujali itikadi ya vyama vyetu tunahitaji katiba mpya na safi mapema kabisa iwezekavyo, not later than 2025.
 
Katiba mpya haiwezi kuwapeleka Chadema Ikulu.

Ikulu unaenda kwa mipango na siyo kulialia kila siku kama zuzu huku ukitetea ushoga na mafisadi ya mlelewa ubelgiji.
 
Hakuna mtanzania mpenda haki anayetamani kuona katiba hiihii tuliyonayo inakutwa na kutumiwa na kiongozi anaefanana hata kwa nusu tu na yule kiongozi wa awamu ya tano (RIP). Awamu ile ni sawa na kusema kuwa nchi ilikuwa imetekwa na watu kutoka sayari nyingine. Ni katiba ambayo kila mtu anasubiri busara za Rais tu baaasi. Ni awamu ambayo hata Mlandizi inaweza kuwa mkoa kamili.

Woga wetu sisi wengine unasababishwa na kile kilichotokea kwenye awamu ileee ya wanaharakati huru. Hatujaagana na nyonga, sisi tunapanga na Mungu anapanga, watanzania wote bila kujali itikadi ya vyama vyetu tunahitaji katiba mpya na safi mapema kabisa iwezekavyo, not later than 2025.
Hiyo Katiba mpya nzuri haiwezi kuruhusu madalali wa kisiasa, viongozi ambao kazi yao kudalali matajiri! Kwani ata awamu ya Kikwete ina lipi jema la kusema Tanzania isihitaji Katiba kwa haraka? Awamu ya Samia ina nn? Ndiyo maana tunasema msiiweke Katiba kayika malrngo yenu yakisiasa, mkiwekea tume ya uchaguzi na kupinga matokeo mahakaman muone mmemaliza lah hasha ila kikubwa tunataka viongozi wanaowajibika kwa Jamii na sio madalali wa kisiasa!

Sasa si bora awamu ya 5 ikiwajibika kwa wananchi wenyewe kuliko nyingine hizi za madalali.
 
Katiba mpya haiwezi kuwapeleka Chadema Ikulu.

Ikulu unaenda kwa mipango na siyo kulialia kila siku kama zuzu huku ukitetea ushoga na mafisadi ya mlelewa ubelgiji.
Waliopo Ikulu ni watetezi halali wa ushoga na hata Ndugu Makonda aliwahi kukanwa na Serikali.

Mama siyo JIWE, wewe tulia tu msumari unaingia taratibu.
 
Katiba mpya haiwezi kuwapeleka Chadema Ikulu.

Ikulu unaenda kwa mipango na siyo kulialia kila siku kama zuzu huku ukitetea ushoga na mafisadi ya mlelewa ubelgiji.
Ni hatari sana kama katiba mpya inayofaa wote na taifa itategemea utashi wa CCM kutaka au kukataa iwepo. Huo ndio uzuzu kama utakubaliwa.
 
Hiyo Katiba mpya nzuri haiwezi kuruhusu madalali wa kisiasa, viongozi ambao kazi yao kudalali matajiri! Kwani ata awamu ya Kikwete ina lipi jema la kusema Tanzania isihitaji Katiba kwa haraka? Awamu ya Samia ina nn? Ndiyo maana tunasema msiiweke Katiba kayika malrngo yenu yakisiasa, mkiwekea tume ya uchaguzi na kupinga matokeo mahakaman muone mmemaliza lah hasha ila kikubwa tunataka viongozi wanaowajibika kwa Jamii na sio madalali wa kisiasa!

Sasa si bora awamu ya 5 ikiwajibika kwa wananchi wenyewe kuliko nyingine hizi za madalali.
Wakati wa Kikwete hakukua na viroba vya watu vilivyokutwa kwenye fukwe za bahari, hatukuona jogoo akinunuliwa kwa 200,000, hatukuona DC na RC wanakuwa na nguvu kuliko waziri mkuu, hatukuona wagombea woooooote wa upinzani wakienguliwa eti hawajui. Ule ulikuwa msiba mkubwa kwa taifa, tema mate chini mungu aupitishie mbali usirudi tena.
 
Hiyo Katiba mpya nzuri haiwezi kuruhusu madalali wa kisiasa, viongozi ambao kazi yao kudalali matajiri! Kwani ata awamu ya Kikwete ina lipi jema la kusema Tanzania isihitaji Katiba kwa haraka? Awamu ya Samia ina nn? Ndiyo maana tunasema msiiweke Katiba kayika malrngo yenu yakisiasa, mkiwekea tume ya uchaguzi na kupinga matokeo mahakaman muone mmemaliza lah hasha ila kikubwa tunataka viongozi wanaowajibika kwa Jamii na sio madalali wa kisiasa!

Sasa si bora awamu ya 5 ikiwajibika kwa wananchi wenyewe kuliko nyingine hizi za madalali.
aaaa ile awamu ya tano ilishafeli, taifa lilishafilisika, watumishi wooote walishakata tamaa wakiwemo hata walinzi w taifa na mali zake. Ndio awamu ambayo ilikopa sana kuliko awamu zote
 
Wakati wa Kikwete hakukua na viroba vya watu vilivyokutwa kwenye fukwe za bahari, hatukuona jogoo akinunuliwa kwa 200,000, hatukuona DC na RC wanakuwa na nguvu kuliko waziri mkuu, hatukuona wagombea woooooote wa upinzani wakienguliwa eti hawajui. Ule ulikuwa msiba mkubwa kwa taifa, tema mate chini mungu aupitishie mbali usirudi tena.
Kwani Lissu hakugombea Urais? Hakupigiwa na kupigwa kura? Unachoongea unakijua? Lema hakugombea?

Ao unaowasema kwenye viroba ikija Katiba mpya ndo watu wataacha kuana? Aliua Mwangosi tena mchana kweupe na alimuua alionekana kabisa na hakuna kilichokatokea sembuse ao uliona viroba bila kujua ni kina nani!
 
aaaa ile awamu ya tano ilishafeli, taifa lilishafilisika, watumishi wooote walishakata tamaa wakiwemo hata walinzi w taifa na mali zake. Ndio awamu ambayo ilikopa sana kuliko awamu zote
Uamuzi ni wenu wananchi ila ghalama za kujenga nchi nzuri kama huko Marekani mnakoona mkipata hela muende mkatanue na ghali zaidi kuliko huku kutaka vinono huku mkiwataka viongozi wajenge mataifa yenu mfano wa nchi za magharibi.

Unaweza kuwa na Milio 30! Uchaguzi utabaki kwako kipi kianze kati ya kujenga nyumba au kununua gari ulie bata.
 
Uamuzi ni wenu wananchi ila ghalama za kujenga nchi nzuri kama huko Marekani mnakoona mkipata hela muende mkatanue na ghali zaidi kuliko huku kutaka vinono huku mkiwataka viongozi wajenge mataifa yenu mfano wa nchi za magharibi.

Unaweza kuwa na Milio 30! Uchaguzi utabaki kwako kipi kianze kati ya kujenga nyumba au kununua gari ulie bata.
hakuna kitu kinazidi uhai na utaratibu. bila uhai na utaratibu ni vigumu kujua kama kesho itakuwepo na ikoje kama ikiwepo. Hakuna mtu anakataa watu wakiijenga nchi yao kwa mikono yao lakini namna ya kuijenga ndio shida na tatizo tulilokuwa nalo. Hivi utanunua ndege ambazo hujui utafanyia nini wapi lini? sifa za hapohapo tu zitajenga nchi gani? je, masoko na wanunuzi unao? si uliona mwenyewe hata mahindi tu hatukuwa na pa kuyauza?
 
Hiyo Katiba mpya nzuri haiwezi kuruhusu madalali wa kisiasa, viongozi ambao kazi yao kudalali matajiri! Kwani ata awamu ya Kikwete ina lipi jema la kusema Tanzania isihitaji Katiba kwa haraka? Awamu ya Samia ina nn? Ndiyo maana tunasema msiiweke Katiba kayika malrngo yenu yakisiasa, mkiwekea tume ya uchaguzi na kupinga matokeo mahakaman muone mmemaliza lah hasha ila kikubwa tunataka viongozi wanaowajibika kwa Jamii na sio madalali wa kisiasa!

Sasa si bora awamu ya 5 ikiwajibika kwa wananchi wenyewe kuliko nyingine hizi za madalali.
How.??
 
Katiba mpya haiwezi kuwapeleka Chadema Ikulu.

Ikulu unaenda kwa mipango na siyo kulialia kila siku kama zuzu huku ukitetea ushoga na mafisadi ya mlelewa ubelgiji.
Nina imani mleta hoja anataka kusikia michango kutoka kwa watu wenye akii timamu.

Waache wenye akili timamu watoe maoni yao.
 
Katiba mpya haiwezi kuwapeleka Chadema Ikulu.

Ikulu unaenda kwa mipango na siyo kulialia kila siku kama zuzu huku ukitetea ushoga na mafisadi ya mlelewa ubelgiji.
Hizi ndizo mimi huwa naita akili za ndezi. Watu wanataka katiba mpya ili mfumo wa utawala uwe mzuri chama chochote kinapokuwa madarakani wewe unaleta tumbo lako la safura hapa? Ebo!
 
Awamu ya 5, inaweza ku8twa ni kipindi cha giza na laana kwa Taifa. Ni kipindi ambacho Taifa liliporomoka katika kila nyanja:

Ukuaji wa ywekezaji uliporomoka kutoka 28% mpaka 4%

Ukuaji wa utalii ulidondoka kutoka 15% mpaka 3.6%

Thamani ya mauzo ya mazao ya kilimo, ilianguka kwa 50%

Ujinga na ukichaa ulionekana ndiyo uzalendo

Demokrasia ilipelekwa kifungoni

Uhuru wa vyombo vya habari, uhuru wa watu, na uhuru wa maoni ulizikwa

Siasa za unafiki, uwongo na hila zikatawala

Mauaji ya wanaomkosoa Rais, kutekwa, kutesa na kubambikia kesi watu ikawa ndiyo silaha ya kulinda ufisadi na wizi wa mtawala na watu wake.

Lakini kila jambo, hata baya, Mungu huliruhusu kwa lengo maalum. Utawala dhalimu wa Magufuli umechochea hamu ya watu kutaka katiba mpya. Watu walidhani Mungu hawasikilizi, walichosahau ni kuwa Mungu hakawii wala kuchelewa, bali hujibu maombi ya watu katika wakati wake. Shukuruni kwa kila jambo.
 
Katiba mpya haiwezi kuwapeleka Chadema Ikulu.

Ikulu unaenda kwa mipango na siyo kulialia kila siku kama zuzu huku ukitetea ushoga na mafisadi ya mlelewa ubelgiji.
Katiba mpya malengo yake sio kupeleka mtu Ikulu bali kupatia watu HAKI zao wanazostahili, zikiwemo haki za kuchagua, kuchaguliwa na kutangazwa bila mizengwe. Atakuwa mwana CCM mjinga kama ataona kuwa katiba ya hivi haimhusu kwani hata wanaCCM mwenyewe walikiona cha mtema kuni kwenye awamu ya tano.
 
Hakuna mtanzania mpenda haki anayetamani kuona katiba hiihii tuliyonayo inakutwa na kutumiwa na kiongozi anaefanana hata kwa nusu tu na yule kiongozi wa awamu ya tano (RIP).

Awamu ile ni sawa na kusema kuwa nchi ilikuwa imetekwa na watu kutoka sayari nyingine. Ni katiba ambayo kila mtu anasubiri busara za Rais tu baaasi. Ni awamu ambayo hata Mlandizi inaweza kuwa mkoa kamili.

Woga wetu sisi wengine unasababishwa na kile kilichotokea kwenye awamu ileee ya wanaharakati huru. Hatujaagana na nyonga, sisi tunapanga na Mungu anapanga, watanzania wote bila kujali itikadi ya vyama vyetu tunahitaji katiba mpya na safi mapema kabisa iwezekavyo, not later than 2025.

mpumbavu mtumwa wa mbowe huna lolote kila mkiamka makufuli tumechoka na ubaya wote laana ya mungu iwashukieni wote mnaemsema marehemu makufuli tafuteni kazi za kufanya. mnajua mazuri aliyoyafanya makufuli hamuyaoni au nyie vipofu shibe mwana malevya. mnamchukua kwa sababu mbowe akuweza kuingia bungeni na kundi lake ndio hasira yenu mpaka mnamchukia sabaya yote kwa sababu alimuweza mbowe, mnambambikia kesi lakini anatoboa . hivi nyinyi sijui wachaga au chadema mnafikiri katiba mpya chadema watatawala nchi hiyo sauni mpaka yesu atakaporudi tena dunia
 
Wakati wa Kikwete hakukua na viroba vya watu vilivyokutwa kwenye fukwe za bahari, hatukuona jogoo akinunuliwa kwa 200,000, hatukuona DC na RC wanakuwa na nguvu kuliko waziri mkuu, hatukuona wagombea woooooote wa upinzani wakienguliwa eti hawajui. Ule ulikuwa msiba mkubwa kwa taifa, tema mate chini mungu aupitishie mbali usirudi tena.

awamu ya kikwete ulikuwa hujazaliwa ndio maana hujui. na yule daktari mkuu wa muhimbili aliyegholewa meno aliokotwa porini alikuwa awamu father wako
 
Awamu ya 5, inaweza ku8twa ni kipindi cha giza na laana kwa Taifa. Ni kipindi ambacho Taifa liliporomoka katika kila nyanja:

Ukuaji wa ywekezaji uliporomoka kutoka 28% mpaka 4%

Ukuaji wa utalii ulidondoka kutoka 15% mpaka 3.6%

Thamani ya mauzo ya mazao ya kilimo, ilianguka kwa 50%

Ujinga na ukichaa ulionekana ndiyo uzalendo

Demokrasia ilipelekwa kifungoni

Uhuru wa vyombo vya habari, uhuru wa watu, na uhuru wa maoni ulizikwa

Siasa za unafiki, uwongo na hila zikatawala

Mauaji ya wanaomkosoa Rais, kutekwa, kutesa na kubambikia kesi watu ikawa ndiyo silaha ya kulinda ufisadi na wizi wa mtawala na watu wake.

Lakini kila jambo, hata baya, Mungu huliruhusu kwa lengo maalum. Utawala dhalimu wa Magufuli umechochea hamu ya watu kutaka katiba mpya. Watu walidhani Mungu hawasikilizi, walichosahau ni kuwa Mungu hakawii wala kuchelewa, bali hujibu maombi ya watu katika wakati wake. Shukuruni kwa kila jambo.
Hivi unaelewa ulichokiandika wewe
 
hakuna kitu kinazidi uhai na utaratibu. bila uhai na utaratibu ni vigumu kujua kama kesho itakuwepo na ikoje kama ikiwepo. Hakuna mtu anakataa watu wakiijenga nchi yao kwa mikono yao lakini namna ya kuijenga ndio shida na tatizo tulilokuwa nalo. Hivi utanunua ndege ambazo hujui utafanyia nini wapi lini? sifa za hapohapo tu zitajenga nchi gani? je, masoko na wanunuzi unao? si uliona mwenyewe hata mahindi tu hatukuwa na pa kuyauza?
We ndezi kweli 😂😂😂.... Hata wanao wamekula hasara kuwa na baba kama wewe! Hivi hujui nchi nyingi za magharibi zimejengwa na watumwa tena kwa vichapo vya haja???

Hujui pia kuwa hata China yenyewe tunayojivunia kuwa miaka ya 60s huko tulikuwa sawa lakini leo sio wenzetu wananchi wake walitesekaje? Hebu jaribu siku usome historia ya Mao na kuijenga China na ujiulize ni kwanini wachina asilimia kubwa wanamchukia huku wakifurahia matunda yake!

Au tuseme hivi, wewe kama mzazi utakuwa bado unaishi kwenye nyumba za kupanga maana hakuna mtu ambaye ana maisha ya kawaida akamaliza ujenzi wa nyumba yake imara bila kutetereka kiuchumi au hata kupata maumivu fulani
 
Awamu ya 5, inaweza ku8twa ni kipindi cha giza na laana kwa Taifa. Ni kipindi ambacho Taifa liliporomoka katika kila nyanja:

Ukuaji wa ywekezaji uliporomoka kutoka 28% mpaka 4%

Ukuaji wa utalii ulidondoka kutoka 15% mpaka 3.6%

Thamani ya mauzo ya mazao ya kilimo, ilianguka kwa 50%

Ujinga na ukichaa ulionekana ndiyo uzalendo

Demokrasia ilipelekwa kifungoni

Uhuru wa vyombo vya habari, uhuru wa watu, na uhuru wa maoni ulizikwa

Siasa za unafiki, uwongo na hila zikatawala

Mauaji ya wanaomkosoa Rais, kutekwa, kutesa na kubambikia kesi watu ikawa ndiyo silaha ya kulinda ufisadi na wizi wa mtawala na watu wake.

Lakini kila jambo, hata baya, Mungu huliruhusu kwa lengo maalum. Utawala dhalimu wa Magufuli umechochea hamu ya watu kutaka katiba mpya. Watu walidhani Mungu hawasikilizi, walichosahau ni kuwa Mungu hakawii wala kuchelewa, bali hujibu maombi ya watu katika wakati wake. Shukuruni kwa kila jambo.
🤣🤣🤣🤣 Afu na hii ndezi inajiita akili kubwa kweli? Aiseee....
 
Back
Top Bottom