Awamu nne, yupi bora?

1. Mwenye nguvu, mvuto na mpiganaji ambaye yuko tayari kuutetea msimamo wake kwa nguvu ya hoja - Uraisi aliupigania mwenyewe.
2. Yupo yupo na mpole asiyejua jukumu la kiongozi wa nchi wala heshima inayoendana nayo, kila kitu rukhsa - Uraisi aliukwaa kama ngekewa.
3. Asiye na mvuto lakini hutumia nguvu kutetea hoja na kusimamia malengo hata kama hayana manufaa kwa taifa - Uraisi alipakatwa.
4. Asiyejua kwa nini aliutaka Uraisi ni kama mtoto anayelilia wembe na akapewa ! Uraisi wake ni feki - anachezeshwa kama "puppet"[JK]



mkuu ulisemalo ni kweli kabisaa tena bila unafiki wowote. Nimeipenda hiyo!
 
yaaani hata msemeje naweza nikapanga MAraisi bora wa tanzania kwa awamu zoote nne, unajua sisiwachache wenyebahati ya kuuudhulia awamu zoote nne tunaweza kusema with reasons
1. Nyerere
2. Mkapa
3. Mwinyi
4. huyu simtaji ila ni wamwisho anaharibu kila kitu hana chakujisifia mpaka sasa
sisemi kwa unafiki ila anahitaji abadilike zaidi
Vizuri, ni wa kwanza katika Thread hii kujitokeza na kuwapanga marais kwa majina wa kwanza mpaka wa mwisho.

Naheshimu uchaguzi wako. Lakini huyu wa mwisho ni rais wa kwanza aliyeanza urais bila kuwa na mzee haambiliki. Hivyo kuweka hali ya hewa kuwa mbaya sana, hasa ukizingatia makundi yaliyojitokeza ndani ya CCM ni mengi. Na kila moja lajisikia kuwa bora zaidi ya jingine. Hiyo hufanya kazi kubwa sana katika kutawala na kudumisha amani wakati huo huo.

Wengi wanapojadili hili wanasahau hili. Kumbukeni yaliyotokea Zambia baada ya Chiluba kushinda, na hatimaye baada ya Mwanawasa kushinda. Naona hayo Kikwete hayataaki.
 
Back
Top Bottom