daah,namkumbuka mwalimu wangu wa darasa la kwanza,aliyenifundisha kusoma na kuandika,ni wa kike anaitwa mwaluko,alikuwa mkali sana,alikuwa anatunasa vibao,na kutupiga na rula nyuma ya vidole,aliwahi kukusanya vifutio vyetu vyoote na kuvitupilia mbali,kisa tunachafua madaftari kwa kufuta hovyo!je unamkumbuka mwalimu wako wa darasa la kwanza na vituko vyake?