Aveva, uliahidi mechi tatu pointi tatu

Aveva, uliahidi mechi tatu pointi tatu

..nasikia kuna simba UKAWA pia...wameahidi kuhujumu timu mechi na Stand jumamosi

Wasianze kutafuta visingizio! Stand United wamejipanga vizuri kumuadabisha Paka Pori wa Msimbazi, Nswa gogema iwe; ngosha kugema, ngosha kucha alile shangu na kunung'ha! Stand United nduhu kushoka numa giti ng'ana yatilukaga.
 
Wasianze kutafuta visingizio! Stand United wamejipanga vizuri kumuadabisha Paka Pori wa Msimbazi, Nswa gogema iwe; ngosha kugema, ngosha kucha alile shangu na kunung'ha! Stand United nduhu kushoka numa giti ng'ana yatilukaga.
si ajabu hata hii mechi takatoa droo
 
si ajabu hata hii mechi tukatoa droo
Hata hivyo itakuwa afadhali kwenu, kwa jinsi stand united tulivyojipanga si ajabu leo mkapigwa si chini ya goli mbili kwa sifuri.
 
Hata hivyo itakuwa afadhali kwenu, kwa jinsi stand united tulivyojipanga si ajabu leo mkapigwa si chini ya goli mbili kwa sifuri.
unaugusa mtima wangu niache nile pilau kwanz
 
Hata hivyo itakuwa afadhali kwenu, kwa jinsi stand united tulivyojipanga si ajabu leo mkapigwa si chini ya goli mbili kwa sifuri.
dua la kuku halikumpata mwewe
 
Mpk sasa SIMBA wana goli 4 na points 3!
Km M.kiti alisema goli 3 points 3, basi kafanikiwa kuvuka malengo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom