Duuh..Kaazi kwelikweli...mumeo kabisa nae kaja kushangaa Avatar hapa JF!..kwa hiyo mkabaki mnashangaa!!!Mkulu mr anafanana sana na ile avatar ya mwanzo ata alipoiona kw mara ya kwanza he was like aaah wat baada ya kuitafakuri kw makini ndio akagundua si yeye ila wanafanana sana
Nitakupm lakini nahisi km AshaDii wa London vileeee nimeotea hapo uwongo uwongo!!!!!!!!! nakupunguzia gharama nitakutumia nusu kilo ya unga wa muhogo, ukwaju na pilipili mtama sawa mamy
ha ha ha... Laussane i see you today for the first time and i like you already....lol
Asante... naona sasa nitume maelekezo jinsi ya kupata...
Thanks my Rafiki AshaDii, ni pm kw ful address nisalimie watoto wangu wazuri wadada wawili wale
Nitakupm lakini nahisi km AshaDii wa London vileeee nimeotea hapo uwongo uwongo!!!!!!!!! nakupunguzia gharama nitakutumia nusu kilo ya unga wa muhogo, ukwaju na pilipili mtama sawa mamy
kwako ze boss, natumaini umzima na unajiandaa vema na weekend! Isingekuwa mbaya kama ningekualika futari siku moja tukiwa na familia yangu pamoja na mme wangu mpendwa! Nia hasa ya message hii naomba uirudishe avatar yako ya zamani kabla ya hii ya sasa, maana kila nikiiona nahisi nimemuona mme wangu mpendwa! Good day na ramadhan kareem. Jamani msiniparamie mtatengua swaumu yangu bure nimefunga mie
imo avatar ya saizi ya boss ni nzuri kuliko ya mwanzo (mo' hb in an elderly way...)
but naona ya kwanza inaendana saana na the name the boss... Ile pose, ile kofia,
na ile minimal swagger... As if the world can not go round akiamua...lol... Na as if he
does not give a damn of what is happening....
Hii ya saizi kweli asipobadilisha he will have to live up to his new image - for anaonekana
sasa he gives a damn, and very responsible.... Hivo not a married bachelor any mo'
may be nichangie kwasababu nilipoiona hii mpya nilitaka kumshauri tb arudishe ile ya zamani..... Mabali na ushauri uliotolewa na asha d kwamba ile ya zamani inaendana na jina lake, pia iliendana sana na comment zake.hii ya sasa imekaa "kiuza sura" zaidi. Tafadhali tb rudisha ile avatar ya zamani.
Nawasilisha.
Utakuwa umekosa cha kufanya mpaka unafikilia AVATAR?
are you jobless, widow or umeachika???
tumeonana wapi?
mwenyewe nilikuona juzi ulivokuja sa kutembeza bakuli,na ulivokua kwenye
kikao cha kuvuana magamba kule dodoma
........ushapenda tayari,......the boss ajiandae tu kuvunja swaumu..