afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,152
- 9,268
- Thread starter
- #101
We si unamjua maza alivyo noma na wewe nilikwambia nakwenda mnadani au ushasahau
Nikarudi nikapitia kwenye Busaa na Manguree pale kwa mama halimaa nikachelewa kurudi.
Nimeamka na kuoga na kukimbia kazini si unajua tena Idd karibu lazima kupiga kazi tupande angalau khanga ya Heri ya Idd
Poa basi usijali
Nlimwambia hiyo ya mnadani lakini alisema
mnada wa Kidarafa ni tarehe 17 ...
bado anakumbuka eti ..
Halafu anawasi wasi unapeleka piwa siku hizi...
maana alikuona unapepesuka na kibuyu cha maji..
ama Marko alimwambia maza ulikuwa kilabuni..
sasa Idd wapi ? au unakuja home...?