ndo yupo chuo hapo. sema masomo hayajaanza. huyu atakua anapotea siku za paper tu.hivi wr unafikiri huyu ana ubavu wa kukosa jf wiki? kama vipi atajitahidi aingie kama vistor. kama huamini tumwambie paw ampige ban halafu uone atakavyo toa povu. mambo vipi mkuu?. mia
Kifodi kinafika?
wale wote ambao mmechakachua uzi wangu mkiongozwa na Lizzy,Kongosho,Nitonye na Figa nakwenda kuwafungulia RB!sikubali kabisa hii dhulma.
wale wote ambao mmechakachua uzi wangu mkiongozwa na Lizzy,Kongosho,Nitonye na Figa nakwenda kuwafungulia RB!sikubali kabisa hii dhulma.
Kusema za ukweli Kabakabana, mi avatar yako ishanipeleka toilet mara nyingi sana na Revola yangu...nimekumiss dear
apaaaa babakoKusema za ukweli Kabakabana, mi avatar yako ishanipeleka toilet mara nyingi sana na Revola yangu...
Yaani nimeshaifanyia dhambi mara nyingi tu....
Waweza niifanyia mpango ukautoa huo mkono wa kulia hapo ili mwenzio nipate sababu ya kwenda mbinguni?
Kwa kiswahili unamaanisha nini?apaaaa babako
Kwa kiswahili unamaanisha nini?
wale wote ambao mmechakachua uzi wangu mkiongozwa na Lizzy,Kongosho,Nitonye na Figa nakwenda kuwafungulia RB!sikubali kabisa hii dhulma.
mmmmhhh we Aspirin wewe,hebu ngoja niite ambulance tukurudishe mwananyamala,maana...........Kusema za ukweli Kabakabana, mi avatar yako ishanipeleka toilet mara nyingi sana na Revola yangu...
Yaani nimeshaifanyia dhambi mara nyingi tu....
Waweza niifanyia mpango ukautoa huo mkono wa kulia hapo ili mwenzio nipate sababu ya kwenda mbinguni?
Kusema za ukweli Kabakabana, mi avatar yako ishanipeleka toilet mara nyingi sana na Revola yangu...
Yaani nimeshaifanyia dhambi mara nyingi tu....
Waweza niifanyia mpango ukautoa huo mkono wa kulia hapo ili mwenzio nipate sababu ya kwenda mbinguni?
Lizzy una maneno wewe!!! Subiri siku ukishika mimba!
ungenifanya nini? Kwani una K wewe?
we subiri,bado ninascout humu jf,nataka nimpate player akuwashe mimba kisha aupwake ili na wewe uje mmu ufungue uzi wa lonely heart....'oh wana mmu nisaidieni bishanga kanipa mimba kisha kauchimba,nataka nijiue...bla bla...'Hahahaha ndio itakuwaje?!
Rijamaa ritaniacha au riujeuri ritaniisha?!
Hahahaha Bishanga bana. . . hiyo kitu haitokaa itokee. Na hapo namaanisha kujifanya "Miss Lonely Heart". . mwenyewe ndo utaanzisha ya "sikumthamini na sasa SIAMINI" maana hata ukirudi hutopata nafasi.we subiri,bado ninascout humu jf,nataka nimpate player akuwashe mimba kisha aupwake ili na wewe uje mmu ufungue uzi wa lonely heart....'oh wana mmu nisaidieni bishanga kanipa mimba kisha kauchimba,nataka nijiue...bla bla...'