Avatar mbali mbali na maana zake

Avatar mbali mbali na maana zake

Bill of Quantity

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2014
Posts
1,233
Reaction score
407
Dah... Kuna avatar huwa nikiziona hapa JF huwa najiuliza mpaka mpaka mtu anaingia setting, anaweka avatar flani huwa anawaza nini!!!

By the way, kuna avatar zinapendeza, nyingine zinatisha zilivyo na kufikisha ujumbe kwa wana.

Hebu ione hii ya mkuu mab... (name calling, lol)
avatar126416_8.gif


Hii hapa ni ya jamaa mmoja hivi, huwa nikiiona nahisi na yeye yuko hivyo hivyo!
avatar28480_6.gif


Mr shake body... If you want my money! lol
avatar44238_9.gif


Jiulize kwanini ulichagua avatar flani na si nyingine...:confused2:
 
Dah... Kuna avatar huwa nikiziona hapa JF huwa najiuliza mpaka mpaka mtu anaingia setting, anaweka avatar flani huwa anawaza nini!!!

By the way, kuna avatar zinapendeza, nyingine zinatisha zilivyo na kufikisha ujumbe kwa wana.


Mr shake body... If you want my money! lol
avatar44238_9.gif


Jiulize kwanini ulichagua avatar flani na si nyingine...:confused2:

Hivi wewe hujajua mpaka leo kuwa Remote ni Mboga?
Na hapa JF Yupo kibiashara zaidi?

Wenye kujua maana ya hio Avatar yake Huwa wanam pm tu halafu wanakutana Na Kumaliza biashara.

Mtoto wa Kiume Lainiiiiii.
 
Last edited by a moderator:
Eti binadamu alikuwa sokwe! Si kweli. Aliumbwa na Mungu kwa mfano wake.
 
mmmhhh kwa kweli mi hiyo ya juu anayeruka na huyu wa chini anayecheza zinaniachaga hoi...Hawachokiiii !!

Ila huyu wa kati Serious, anaelekea kama ni MURA huyu...

Halafu huwa mara nyingi Avata zinafanya upate tafsiri mtu kuwa ndio yupo hivyo...Mtundu au Mkatili






Dah... Kuna avatar huwa nikiziona hapa JF huwa najiuliza mpaka mpaka mtu anaingia setting, anaweka avatar flani huwa anawaza nini!!!

By the way, kuna avatar zinapendeza, nyingine zinatisha zilivyo na kufikisha ujumbe kwa wana.

Hebu ione hii ya mkuu mab... (name calling, lol)
avatar126416_8.gif


Hii hapa ni ya jamaa mmoja hivi, huwa nikiiona nahisi na yeye yuko hivyo hivyo!
avatar28480_6.gif


Mr shake body... If you want my money! lol
avatar44238_9.gif


Jiulize kwanini ulichagua avatar flani na si nyingine...:confused2:
 
Kama huyu MO11 avata yake na maneno yake anayoongeaga basi yanafanana...Namuona kama ni mtu anayependa utaniii na kuchekaa tena kicheko chenyewe cha utani na kukera watu..


oooopsss nimefanzaje....??
 
Back
Top Bottom