swadaktaaah....sasa yenye sunroof2003 rav4 - 16.6 million
Aisee toa jibu musee. Kuhusu AUDI A4 white au silverSafi sana kwa reply ya haraka. Nataka rangi ya silver au white.
Mkuu we ni msumbufu kakupa audi A4 na bei na picha kasoro rangi tu ukasema unataka nyeupe sasa unadhani rangi itabadili bei? Au unataka jamaa akujibu nn? Umeshajua bei kama upo serious mfate inbox mfanye biashara.Aisee toa jibu musee. Kuhusu AUDI A4 white au silver
Sijui hata umeandika nini. Nadhani ni jambo la kistarabu sana kujali biashara zako na kuacha mambo ya yasiyo kuhusu. Mind your business brah, BTW nataka aniambie kama hizo rangi zipo na sio bei.Mkuu we ni msumbufu kakupa audi A4 na bei na picha kasoro rangi tu ukasema unataka nyeupe sasa unadhani rangi itabadili bei? Au unataka jamaa akujibu nn? Umeshajua bei kama upo serious mfate inbox mfanye biashara.
mkuu wewe si mnunua magari. Una hobby tu so unapenda kujua bei nk. Wenye kununua magari unadhaSijui hata umeandika nini. Nadhani ni jambo la kistarabu sana kujali biashara zako na kuacha mambo ya yasiyo kuhusu. Mind your business brah, BTW nataka aniambie kama hizo rangi zipo na sio bei.
Toyota Raum Tsh ngapi mpaka Dom?kwema mkuu niambie bei ya alteza 4cylinder na allion ile ya mwaka 2004
Daaah!!! Haina shida mnunua magari. Nadhani nafsi yako imetulia sasa.mkuu wewe si mnunua magari. Una hobby tu so unapenda kujua bei nk. Wenye kununua magari unadha
ni huwa wapo hivi?
Anyway im minding my own bussiness
Hapana yupo sahihi ww ni msumbufu, because wengine tupo hapa kuangalia comments za watu so akiuliza mtu swali na akijibiwa ni faida kwetu so unataka akujibu ww tuu kwenye swali ambalo halina kichwa wala miguu?Sijui hata umeandika nini. Nadhani ni jambo la kistarabu sana kujali biashara zako na kuacha mambo ya yasiyo kuhusu. Mind your business brah, BTW nataka aniambie kama hizo rangi zipo na sio bei.