Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 59,191
- 138,513
we kweli hazikutoshi,huyo dada labda maarufu kwa mapendeshee wanaokula "chukuchuku"Wacha upuuzi wewe Aunt Ezekieli ni maarufu kuliko huyo lema wewe, labda lema ndio anatafuta kiki kwa Aunt au anataka kucheza movie nini...!!!
Hivi wewe unadhani kila mtu anaangalia hizo senema zenu za kuigizia kwenyenyumba za watu huku mkipewa masharti usiingie na viatu kiasi kuwa jambazi eti anavua viatu? Huyo Ezekieli ni maarufu kwenu nyie? Na wadau washaelewa wewe ni mtu wa category gani.
You have to be careful with types of popularities. One can be popular for a foolish and bustard issues. Lema suits that type of popularities.
You can at least defend Lissu(though most of the times he has been more exaggerating & and very shallow) to the extent of boring!
Mmeanza kunitia shaka,kama na nyie mnaweza kuhoji Elimu ya Lema,wakati kina Lusinde na Majimafupi waliaminika na kupewa majimbo ambayo wanayaongoza hadi octoba.Lema yupo Bungeni kutokana. na kura za wanachi,hizo kejeli zenu zinaelekea direct kwa wananchi walio mpa kura.CCM inakosa majimbo kutokana na makosa yetu wenyewe sisi wana sisiem.52 yrs bado budget yetu inatemea wahisani kwa karibu 50%.Mnataka nchi!mtafanya kipi kipya?
Walikuwa na interview Clouds fm leo wao wako happy tu kama kusikia walisha sikia mengi kwa hiyo haiwasumbui tena.
MUSSAAllan Nchi ipo hari jojo,huioni?Au unaneemeka na hali hii?Tafakari,chukua tahadhari.Mkuu nchi tayari iko kwenye mikono salama ya CCM.
MUSSAAllan Nchi ipo hari jojo,huioni?Au unaneemeka na hali hii?Tafakari,chukua tahadhari.
Fungua ID nyingine uitumie sambamba na hiyo yako,Ili pale unapoona mambo haya hayaendi uwe huru kwa ile ID nyingine kurekebisha.Niushauri tu
Wewe na wahuni wenzio ndio mnaona hivyo. Ila sisi watanzania wazalendo bado tuko tayari kuitumikia nchi yetu chini ya uongozi mzuri wa CCM.
Chakula cha Nyalandu huyo sasa unafikiri atawasema wakina Lema vizuri... Never
Mkuu gana point tule kuna siku bungeni aliropoka eti wawekezaji wa vitalu vya gas hawaji na pesa bali wanakuja na labtop na wanakaa hotelini na kuomba kuwekeza kisha pesa wanakopa ktk mabank yetu nilimdhalau sana
Huyu aunt Ezekiel, nani anaemfahamu USA, to the extent ya kuvutia utalii?! Ndo maana inazua hofu ya kuwako agenda fiche nyuma ya pazia!