Aunty Ezekiel ampiga dongo Lema

Aunty Ezekiel ampiga dongo Lema

Rich Pol

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2013
Posts
7,877
Reaction score
5,694
Katika kipindi cha amplifier cha Millard Ayo Msanii wa filamu wa bongo movie amempiga dongo mbunge wa Arusha Godbless Lema kwa kile alichoda kuwa waziri wa maliasili na utalii mh. Lazaro Nyarando alikuwa anatanua Marekani na na aunty Ezekiel pesa za umma.

''Mtu mzima, mbunge mzima anakosa point na kudandia mambo ya facebook na instagram na kuyapeleka bungeni kwani hana mambo muhimu ya kujadiri au hana point? Akiambiwa alete ushahidi ataanza kutoa macho, mimi ninao ushahidi walionialika na nilikofikia namshangaa sana huyo mtu, aliongea Aunty Ezekiel.

Ni kweli kwa heshima ya bunge tukufu ni aibu sana mbunge mzima kusimama na kutoa hoja dhaifu kama hiyo ili mradi aonekane anaongea bungeni.
 
Huyo anti Ezekiel amesababisha ndoa ya Nyalandu kupumulia mashine....akae kimya kabisa na kufunga mdomo wake

Walikuwa na interview Clouds fm leo wao wako happy tu kama kusikia walisha sikia mengi kwa hiyo haiwasumbui tena.
 
kwa hiyo huyo aunty ezekiel alikuwa US kwa dili zipi?

hivi hata kama alikuwa huko ughaibuni na waziri mnadhani akihojiwa ndio anaweza kukiri?

Mkuu hakuwa peke yake walikuwa kundi mpaka wanamuziki kama Madee walialikwa .
 
Mkuu hakuwa peke yake walikuwa kundi mpaka wanamuziki kama Madee walialikwa .

Kwani kama kuliwa waliliwa wote? Si yeye pekee huyo Aunt? Kwanza hilo hajalianzisha Lema, bali Lema alitia msisitizo baada ya Nyalandu kushindwa kutoa maelezo ya nini alifanya kule US. Kama Waziri lazima ueleze kila hatua ya ulichofanya kwa ziara uliyowezeswa na fedha za walipa kodi. Huyo mwanamke asitake kutokea jina la Lema kama kawaida yao ya kutumia majina ya watu kujibebea ujiko.
 
Kwani kama kuliwa waliliwa wote? Si yeye pekee huyo Aunt? Kwanza hilo hajalianzisha Lema, bali Lema alitia msisitizo baada ya Nyalandu kushindwa kutoa maelezo ya nini alifanya kule US. Kama Waziri lazima ueleze kila hatua ya ulichofanya kwa ziara uliyowezeswa na fedha za walipa kodi. Huyo mwanamke asitake kutokea jina la Lema kama kawaida yao ya kutumia majina ya watu kujibebea ujiko.

Mkuu Lema aliongea kuwa Nyarandu alikuwa anatanua na kupiga picha na Aunty Ezekiel, mambo ya facebook na Instagram atapelekaje bungeni??
 
Katika kipindi cha amplifier cha Millard Ayo
Msanii wa filamu wa bongo movie amempiga dongo mbunge wa Arusha Godbless Lema kwa kile alichoda kuwa waziri wa maliasili na utalii mh. Lazaro Nyarando alikuwa anatanua Marekani na na aunty Ezekiel pesa za umma.
'' mtu mzima mbunge mzima anakosa point na kudandia mambo ya facebook na instagram na kuyapeleka bungeni kwani hana mambo muhimu ya kujadiri au hana point? Akiambiwa alete ushahidi ataanza kutoa macho, mimi ninao ushahidi walionialika na nilikofikia namshangaa sana huyo mtu, aliongea Aunty Ezekiel.
Ni kweli kwa heshima ya bunge tukufu ni aibu sana mbunge mzima kusimama na kutoa hoja dhaifu kama hiyo ili mradi aonekane anaongea bungeni.

Lema bonge la mbunge ni msema kweli hivi ant ezekiel anaweza kuongeza watalii tanzania kweli?
 
...

....Ndo maana wakora wametupiga bani !!!


aunty_ezekiel789.jpg
 
Binafsi siwashangai baadh ya wabunge wa Upinzani(hususan Chadema). Wamekuwa wakitafuta "cheap popularity" bila kujua huku mtaani wanatukera na tunawaona wapumbafu sana.

Mfano mdogo tu; Kwenye kikao kichopota cha Bunge, T.Lissu alisimamisha mjadala wa maana mle bungeni nakutoa taarifa yakiudaku nayakipuuzi saa kwamba, "TBC1 IMEZIMA MATANGAZO YOTE ILI WATANZANIA WASISIKIE MJADALA HUU".

Yaani Lissu aliniharibia tension vibaya sana. Nilikuwa Morogoro mjini siku hiyo nikifuatilia hoja ile live kwenye bar moja ivi kupitia TBC1. Yaani tuliguna wote kwa hasira.

Namshukuru Nkamia alikuja jion yake kumpa vidonge vyake.

Ni tatizo mno hawa watu.
 
Aliutangaza Utalii kupitia humo humo alimokuwa akilala yaani ni mwendo wa kimya kimya.
 
Binafsi siwashangai baadh ya wabunge wa Upinzani(hususan Chadema). Wamekuwa wakitafuta "cheap popularity" bila kujua huku mtaani wanatukera na tunawaona wapumbafu sana.

Mfano mdogo tu; Kwenye kikao kichopota cha Bunge, T.Lissu alisimamisha mjadala wa maana mle bungeni nakutoa taarifa yakiudaku nayakipuuzi saa kwamba, "TBC1 IMEZIMA MATANGAZO YOTE ILI WATANZANIA WASISIKIE MJADALA HUU".

Yaani Lissu aliniharibia tension vibaya sana. Nilikuwa Morogoro mjini siku hiyo nikifuatilia hoja ile live kwenye bar moja ivi kupitia TBC1. Yaani tuliguna wote kwa hasira.

Namshukuru Nkamia alikuja jion yake kumpa vidonge vyake.

Ni tatizo mno hawa watu.

.....wenzetu wanapiga kwato 4wd sisi wiziii tuu na ushabiki wa matumbo !!

UHURU3.jpg
 
Back
Top Bottom