Sio wote bwana, kuna ambao wanabehave sana tuBongo Movie ni kituo cha Makahaba
Si mmuache? Hayo ni maisha yake na hayawahusu. Mi naona atajijua yeye na sio sisi.
Mkuu kama una familia ya watoto wadogo ndo utajua kama inakuhusu.. Hawa waigizaji wa bongo wamekuwa ni favourite wa watoto.. So ninapoona mwanangu anasema anataka kuwa mwigizaji kama Anti Ezekiel unajua ninajicikiaje..? Ninapoona picha kama hizi ndo ninajua kwamba ujuha wake wanihusu mie sana.. Maana yeye ni kioo cha mwanangu japo ninajitahidi sana kumuondoa mwanangu kwenye akili hizo.. So Mkuu in 1 way or another inatuhusu sana..
Kweli inatuhusu, sasa kama huyo msanii hataki kubadilika tumuue? Au tumtenge?
Kwanza sio vizuri kwa watoto kufundishwa kuwa kama mtu fulani ila ni vyema kumuandaa mtoto kutengeneza unique positive attitudes na personality yake na sio kuiga stars.