aunt ezekiel na shilole balaaaa!

aunt ezekiel na shilole balaaaa!

Emanuel Makofia

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2010
Posts
3,832
Reaction score
637
wakiwa ndani ya kiota kipya mtwara
MAKONDE BEACH CLUB!
Wanenu😛oa😛oa


eze shilo.JPG eze 1.JPG eze2.JPG



shilo 1.JPG shilo 2.JPG kaaazi kweli kweli!
 
Naona wazi hao hawana ndugu maana kwa kadhia hii lazima ndugu zao wawakatae kwa dhati.
 
Ni kwa nini serikali isirasmishe hii kazi ya kuuza K ili serikali ipate mapato yake!!
 
Sijaona kipya wala cha ajabu hapo...hiyo ni show ya music...mie nilidhani wanatembea road bila nguo
 
Jamani wanajituma kikazi zaidi!wanakula kwa jasho lao ati!!ubunifu wao ndio utawaweka mjini
 
Mbona kwa upande wa wanaume wametulia ukimtoa Hemedi mzee wa mapoda, wengine wako poa. Ila kwa dada zetu naona hawajui kutunza umaarufu wao.
 
Kuna watu huwa hawakomi.


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom