Augustino Ramadhani: Chaguo la system

Rutunga M

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2009
Posts
1,769
Reaction score
1,393

Sisi wengine tunajitokezaga kipindi kama hiki tu.
Augustino Ramadhani ndiye chaguo la system.taarifa kutoka kabatini ndo hizo.
Kigezo kilichotumika ni issue ya udini na mfumo wa muungano kuanzia kwa nyerere ghadi jk.
Bara imetoa rais vipindi vitatu kati ya vinne.Zamu hii ni ya Zanzibar.

Ni ngumu kumeza lakini taarifa ndo hiyo.

Pole sana baadhi yenu.

UPDATES:




 
nani atatusaidia kumuuza mtu mwenyewe hatumfaamu,
poleni wazee wa ccm mliompendekeza mwaka ccm mkimpitisha mtu asiyefaamika au mwizi kazi mnayo.
 
Atauweza mfupa alioushindwa fisi?Namuonea huruma tu.Maana zigo la kichaa wanamwachia pole zake.
 
1,Rais Mgufuli
makamu ramadhani
au
2 Rais mwandosya
makamu-ramadhani

kwa miundo hiyo watapona ccm nje ya hapo kazi wanayo,
 
Huyu ni Mtu Kutoka Nchi Jilani au Marafiki Zetu Wazanzibar Kwa Maana Zanzibar ni Nchi Huru iliyokamilika. CCM wakimleta Huyo Waandike Maumivu Kwa Maana Huyu ni Mzanzibar na Zanzibar ni Nchi Kama ilivyo Burudi au Rwanda.

Rais wa Tanganyika Hapigiwi Mizinga Zanzibar Kama Tulivyoona kwenye Sherehe za Uhuru wa Zanzibar. Hapana Ndani ya CCM leteni Mtaganyika na UKAWA Wataleata Mtanganya.
 
Duh! Unajua hata haisound kuitamka just imagine "AKizindua mradi huo Rais Agustino Ramadhani alisema......"yaani nakosa radha kabisa jina lake litatamkikaje,listen nahsi jaji anakwenda kupewa jumba bovu,though atashinda general election ila kwa shida sana,ile CCM angepewa Makongoro ndio ingenyooka!
 
Huyu ni mtu safi ambaye ndiye anaweza kumaliza makundi kwa sasa ndani ya CCM

kweli je watu vijijini wanamfaamu ambako ndo wapinga kura waliko,mimi nawashauri wafanye kama kwa kikwete,
1,magufuli-rais
2,ramadhani-makamu

hii timu itashinda kwa kishindo na inakubalika na itasaidia wabunge wa ccm,ia tutapata baraza la mawazri bora.
 

kwa hali ilinyo ccm kumsimamisha ramadhani kama rais na ubora wake ni kazi kushinda maana ccm hawajamuanda ,itakuwa ni kazi kubwa wala hatawasaidia wabunge wa ccm
so,
awe makamu wa rais kati ya magufuli au makongoro basi,
 
Atauzika kirahisi sana

utamuuza wapi na siasa zilinyo ? wakati wenzao wanaombakura ccm watakuwa wanaangaika kumuuza mpaka watu wamjue siku ya kupiga kura imefika,lakini pia sisaa pedwa za sasa hivi anaziweza ?,
 

milion 5 kuongoza milion 43,sijui
 
votes must decides

MNATAKA KUTUPANDIKIZIA MTU !!!

ILI IWE SIMPLE KUENDELEZA UMWINYI!!!
 

wazee wa NEC waisome hii itawasaidia kufanya maamuzi sahihi ili kuendelea kuongoza dora,
 
Huu utaratibu wa ovyo kweli.

Ngoja CUF ishinde Zenji ndo mwisho wa huu muungano.
 
hivi sifa hizi anazo tunazotaka atakayeitishwa na ccm ili kumuuza vizuri kwa wananchi?
1,mkali
2,mchapa kazi
3,kwa umri wake kuna kitu amekifanya ktk nchi hii ambacho aswa vijijini amboko ndo kunawapiga kura kuwa kunaweza kumsaidia kuomba kura?
4,uwezo wa kusimamia serikali,maana namuona kama alikuwa nye ya system,
5, uwezo wa kufanya maamuzi mangu yapo aliyoyafanay yatamsaidia kutuaminisha kuwa anaweza ?
6,namuona mpole vile
7 siasa za sasa za vijana anaziweza?
 
rais wa tanzania mzanzibar
rais wa zanzibar mzanzibar

kweli!! ebu lione hili ccm
 
Rutunga M

Umetoka jela? Wenzako hii sio tena habari mpya bali ni historia. Pole sana kama ndio unajua leo!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…