Augustine Lyatonga Mrema: Ni popo, si ndege si mnyama

Augustine Lyatonga Mrema: Ni popo, si ndege si mnyama

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2011
Posts
7,942
Reaction score
9,464
wakati wa kuanza kupiga kura kwa ajili ya kupitisha bajeti mrema wa tlp alitoka nje ya ukumbi na hiyo ilikuwa ina ashiria yafuatayo.

1. Aliogopa kupiga kura ya ndiyo kuiunga ccm mkono kwa kuogopa wangemuona ni msaliti watu wa upinzani au angewaudhi wapinzani

2. Aliogopa vilevile kupiga kura ya kuunga upinzani mkono kwa kuogopa ccm wange mchukia na angewaudhi ccm

3. Hivyo basi ili asiudhi pande zote mbili ilibidi atoke nje ya ukumbi wa bunge na asipige kura
 
Huyo ndio Dr.Lyatonga Mrema kama ulikuwa humjui
 
Njaa itamuua huyu mzee!!siasa za unafiki aache.
 
wakati wa kuanza kupiga kura kwa ajili ya kupitisha bajeti mrema wa tlp alitoka nje ya ukumbi na hiyo ilikuwa ina ashiria yafuatayo.

1. Aliogopa kupiga kura ya ndiyo kuiunga ccm mkono kwa kuogopa wangemuona ni msaliti watu wa upinzani au angewaudhi wapinzani

2. Aliogopa vilevile kupiga kura ya kuunga upinzani mkono kwa kuogopa ccm wange mchukia na angewaudhi ccm

3. Hivyo basi ili asiudhi pande zote mbili ilibidi atoke nje ya ukumbi wa bunge na asipige kura

Lyatonga ni bajaji....siyo pikipiki (maana pikipiki ina matairi mawili) wala si gari(maana ina matairi manne).
 
Huyu mzee ni mnafiki sana na njaa inamsumbua sana alisaidiwa sana na. Ccm kushinda vunjo baada ya ccm kuhujumiana
 
Muache kama alivyo he has expired so he is now playing his last card.
 
Njaa itamuua huyu mzee!!siasa za unafiki aache.
inasemekana kapiga sana hela za rushwa wakati wa ziara ya kamati ya bunge serikali za mitaa,..hii inatoka kwa wahasibu wa halmashauri,.nasikia walikuwa wanademand mil.10 kila halmashauri
 
Huyu ameshachoka siku nyingi anasubiri retirement 2!!!!!
 
Niliwah kumpiga swali ktk kipindi cha mchakato majimboni Tbc, ''mzee umezeeka sana na bungeni wanatakiwa vijana wa kazi, utaweza ww"? Akanijibu kijana bungeni kule hatubebi zege......dah nikajua huyu babu kweli 0.
 
Jamani mbona mie nimemsikia kabisa amepiga kura ya HAPANA. Tena ni wale wa mwanzo mwanzo? We mleta hoja umekurupuka.
 
Jamani mbona mie nimemsikia kabisa amepiga kura ya HAPANA. Tena ni wale wa mwanzo mwanzo? We mleta hoja umekurupuka.

Ndio ujuwe JF imevamiwa na makanjanja, mimi nimemuona na nimemsikia kwa masikio yangu, tena ndio mbunge wakwanza wa upinzani kuitwa jina na akasema HAPANA, Huyu ndiye aliebikiri kura za HAPANA kwa kambi ya upinzani.
Hongera sana Mrema leo umenifurahisha to the maximum.
 
Ndio ujuwe JF imevamiwa na makanjanja, mimi nimemuona na nimemsikia kwa masikio yangu, tena ndio mbunge wakwanza wa upinzani kuitwa jina na akasema HAPANA, Huyu ndiye aliebikiri kura za HAPANA kwa kambi ya upinzani.
Hongera sana Mrema leo umenifurahisha to the maximum.
Thread zingine watu waweke huku wakiwa na uhakika ni kweli kabisa alikuwa wa kwanza katika kura za HAPANA akifuatiwa na ZITO KABWE tafadhali tusilete hadithi za kufikirika
 
Jamani mbona mie nimemsikia kabisa amepiga kura ya HAPANA. Tena ni wale wa mwanzo mwanzo? We mleta hoja umekurupuka.
jamani tuwe na uhakika wa kile tunachochangia.jana mimi ckuwa na umeme so sijaona ila nimelifatilia bunge kupitia jf na mtu aliyekuwa akitujuza alisema mrema amepiga kura ya HAPANA tena alikuwa mtu wa kwanza kutoka upinzani.sasa tumuelewe nani?napata wasiwasi na umakini wa baadhi ya wana jf.kama huna uhakika tulia usikimbilie kuanzisha uzi wakati hujui unachokianzisha.tuwe makini wengine ndo tunategemea hapa kupata habari.tujifunze na tujirekebishe jamani.
 
mleta mada acha kupotosha......ni kweli mrema alitoka nje lakini badae alirudi na alipiga kura ya HAPANA
 
Niliwah kumpiga swali ktk kipindi cha mchakato majimboni Tbc, ''mzee umezeeka sana na bungeni wanatakiwa vijana wa kazi, utaweza ww"? Akanijibu kijana bungeni kule hatubebi zege......dah nikajua huyu babu kweli 0.

kumbe ulikuwa ni wewe....hahaha...tena alingezea hapo akasema niko fiti muulize mke wangu nilivyo fiti
 
suala la kususia posho linaonekana kupondwa na baadhi ya wapinzani akiwemo mh. Mrema. kitendo cha yeye kutopiga kura ya kupitisha bajeti ni kuondoa "lawama" toka upinzani. lakini kama kweli angekuwa haipendi bajeti hii,basi angepiga kura ili kuweza kupata wingi wa kura za hapana.lakini kwa kuwa anaitaka posho ya mjengoni,akaamua kutoka nje ili ccm waipitishe halafu yeye akiulizwa na wenzie aseme "mimi sikupiga kura" hii ni kutoisapoti chadema katika vita yake dhidi ya posho. Mrema ana akili sana,hawezi kupelekeshwa kama punda.

“Mbunge wa Vunjo, Augustino Mrema, ambaye ni mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu ya Serikali za Mitaa aliondoka ukumbini muda mfupi kabla ya kuanza upigaji huo wa kura” (MWANANCHI, 22/06/2011)
 
wewe na wenzako ni waongo wakubwa. Mrema alipiga kura ya hapana wala hakutoka ukumbini
 
binafsi nime msikia akisema "HAPANA" fuatilia hansard za bunge jana, acheni uzushi....eti mmesha mpa na sababu kisa posho,kwa nini msi muulize? achanei uhuni wa kuandika andika tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom