Augustine Lyatonga Mrema: Ni popo, si ndege si mnyama

Augustine Lyatonga Mrema: Ni popo, si ndege si mnyama

shukran kwa kutambua mafanikio hayo, kuhusu mvuto si kweli kwani hivi sasa jf inazidi kupata wanachama na wasomaji wake wameongezeka sana,hayo pia ni mafanikio makubwa ya jf,tena ogopa sana kusema jf inakosa mvuto.huenda woga wako wa hoja unakufanya uiogope jf. Unataka hoja zile za kukusapoti tu. Hutaki chalenji. Kumbe wewe si mwana jf shupavu

Lakini lengo la kuingia humu kwa mujibu wa bosi wenu Nape si kuisafisha CCM na kuibomoa CDM mbele ya Watanzania, jee katika hilo mumepata mafanikio pia? Kumbuka kuiboma CDM inabidi uende kwa watu ana kwa ana kwani wanaoingia humu mtanadaoni ni asilimia ndogo sana ya Watanzania ukilinganisha na idadi ya Watanzania ambao wanaiunga mkono CDM kupitia mikutano yake ya hadhara.Any way tuendelee hivi hivi mwisho wa siku tuta pima mafanikio ya kila upande, yaani kufanya mashambulizi kwenye mitandao v/s nguvu ya umma.Kwa heri dada yangu na siku njema
 
Mrema alipiga kura, tena kura yake ya HAPANA ILISHANGILIWA sana na upande wa upinzani. Source mitambo ya TBC 1 iliyorusha live na macho na masikio yangu.
 
Kwanza mtu mwenyewe mnayejadiliana naye ndio walewale kundi la Nape, wamefungulishwa account JF kwa lazima na Nape ili walete hoja za kipuuzi kulishushia heshima jamvi, lakini tumekushtukia na watu wameishakupiga source za uhakika mwanaizaya mkubwa weee.
Yaani wewe huwez kutoa hoja bila kumtaja NAPE amekuchukulia mke nini? na kwa taarifa yako wengi tunaoikosoa Cdm ni wanachama wa Cdm hatutaki ife kibudu kama Nccr kwa kuendekeza fikra za m/kiti tu.
 
suala la kususia posho linaonekana kupondwa na baadhi ya wapinzani akiwemo mh. Mrema. kitendo cha yeye kutopiga kura ya kupitisha bajeti ni kuondoa "lawama" toka upinzani. lakini kama kweli angekuwa haipendi bajeti hii,basi angepiga kura ili kuweza kupata wingi wa kura za hapana.lakini kwa kuwa anaitaka posho ya mjengoni,akaamua kutoka nje ili ccm waipitishe halafu yeye akiulizwa na wenzie aseme "mimi sikupiga kura" hii ni kutoisapoti chadema katika vita yake dhidi ya posho. Mrema ana akili sana,hawezi kupelekeshwa kama punda.

“Mbunge wa Vunjo, Augustino Mrema, ambaye ni mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu ya Serikali za Mitaa aliondoka ukumbini muda mfupi kabla ya kuanza upigaji huo wa kura” (MWANANCHI, 22/06/2011)

Mkuu nadhani hukufuatilia vizuri upigaji kura wa hoja ya bajeti, Mhe Mrema alipiga kura ya hapana, labda kama ulimaanisha Mh Cheyo yeye hakuwepo mjengoni.
 
binafsi nime msikia akisema "HAPANA" fuatilia hansard za bunge jana, acheni uzushi....eti mmesha mpa na sababu kisa posho,kwa nini msi muulize? achanei uhuni wa kuandika andika tu
hata mimi nikimsikia akisema HAPANA
 
suala la kususia posho linaonekana kupondwa na baadhi ya wapinzani akiwemo mh. Mrema. kitendo cha yeye kutopiga kura ya kupitisha bajeti ni kuondoa "lawama" toka upinzani. lakini kama kweli angekuwa haipendi bajeti hii,basi angepiga kura ili kuweza kupata wingi wa kura za hapana.lakini kwa kuwa anaitaka posho ya mjengoni,akaamua kutoka nje ili ccm waipitishe halafu yeye akiulizwa na wenzie aseme "mimi sikupiga kura" hii ni kutoisapoti chadema katika vita yake dhidi ya posho. Mrema ana akili sana,hawezi kupelekeshwa kama punda.

“Mbunge wa Vunjo, Augustino Mrema, ambaye ni mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu ya Serikali za Mitaa aliondoka ukumbini muda mfupi kabla ya kuanza upigaji huo wa kura” (MWANANCHI, 22/06/2011)

Mrema alipiga kura ya HAPANA tena kwa msisitizo alisimama wakati anasema HAPANA
 
Mrema alipiga kura, tena kura yake ya HAPANA ILISHANGILIWA sana na upande wa upinzani. Source mitambo ya TBC 1 iliyorusha live na macho na masikio yangu.
Baada ya bajeti kupita wabunge wa CCM walisikika wakimbeza Mrema!
 
Ukimuona ngedere mjini usisumbuke kuuliza amefikafikaje jua ana mwenyewe.
 
suala la kususia posho linaonekana kupondwa na baadhi ya wapinzani
akiwemo mh. Mrema. kitendo cha yeye kutopiga kura ya kupitisha bajeti ni kuondoa "lawama" toka upinzani.
lakini kama kweli angekuwa haipendi bajeti hii,basi angepiga kura ili kuweza kupata wingi wa kura za hapana.
lakini kwa kuwa anaitaka posho ya mjengoni,akaamua kutoka nje ili ccm waipitishe halafu yeye akiulizwa na
wenzie aseme "mimi sikupiga kura" hii ni kutoisapoti chadema katika vita yake dhidi ya posho. Mrema ana
akili sana,hawezi kupelekeshwa kama punda.

“Mbunge wa Vunjo, Augustino Mrema, ambaye ni mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu ya Serikali
za Mitaa aliondoka ukumbini muda mfupi kabla ya kuanza upigaji huo wa kura” (MWANANCHI, 22/06/2011)

Uongo uliopindukia, Mrema ndiye aliyekuwa wa kwanza kwa wabunge wa upinzani kupiga kura ya hapana.
 
suala la kususia posho linaonekana kupondwa na baadhi ya wapinzani akiwemo mh. Mrema. Kitendo cha yeye kutopiga kura ya kupitisha bajeti ni kuondoa "lawama" toka upinzani. Lakini kama kweli angekuwa haipendi bajeti hii,basi angepiga kura ili kuweza kupata wingi wa kura za hapana.lakini kwa kuwa anaitaka posho ya mjengoni,akaamua kutoka nje ili ccm waipitishe halafu yeye akiulizwa na wenzie aseme "mimi sikupiga kura" hii ni kutoisapoti chadema katika vita yake dhidi ya posho. Mrema ana akili sana,hawezi kupelekeshwa kama punda.

“mbunge wa vunjo, augustino mrema, ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya bunge ya hesabu ya serikali za mitaa aliondoka ukumbini muda mfupi kabla ya kuanza upigaji huo wa kura” (mwananchi, 22/06/2011)

nani ka kuambia kwamba mrema ni mpinzani? Na mrema hana hadhi yoyote kwa sasa anaishi kwa pumzi ya ccm yule. Anaishi kwa air tank za ccm na wakizima hizo air tank ndo mwisho wake.
 
Niliwah kumpiga swali ktk kipindi cha mchakato majimboni Tbc, ''mzee umezeeka sana na bungeni wanatakiwa vijana wa kazi, utaweza ww"? Akanijibu kijana bungeni kule hatubebi zege......dah nikajua huyu babu kweli 0.

Kumbe ni wewe? Ndo unatumia jina hili humu!!!!
 
Yaani wewe huwez kutoa hoja bila kumtaja NAPE amekuchukulia mke nini? na kwa taarifa yako wengi tunaoikosoa Cdm ni wanachama wa Cdm hatutaki ife kibudu kama Nccr kwa kuendekeza fikra za m/kiti tu.
umehamia lini cdm?we 2nakujua vzuri.
 
Anyways whatever if he voted or nat voted Lyatonga he is a fake pastor...!!! Anasema na kufanya asiyoyaamini....!!! Tena ni shushushu mkubwa wa sisiem huyu mzee asifanye anajua saana kutufanyia mazingaombwe yake sisi ni watu wazima eti....!!! allaaaa..!!!
 
Vyovyote itakavyokuwa, siasa za wakati huu si za watu type ya mrema. Ukweli mwingine ni kuwa katika msafara wa mamba usishangae kukuta kenge wakiwemo kwa chati.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom