Interested Observer
Platinum Member
- Mar 27, 2006
- 4,955
- 7,831
Your Answers:Hivi Mrema alifanya kipi cha maana haswa maanake mimi sielewi?..
Lula wa Brazil si msomi, na nchi yake iko katika nchi kumi zenye uchumi bora duniani.
Eva Morales wa Bolivia si msomi lakini anaendesha nchi na kinaeleweka.
Ni Waafrika pekee tunaopenda Prestige za Usomi kama vile ni tija na njia ya kuleta maendeleo!
Your Answers:
1. He was the first Minister to catch a bust of Gold belonging to the President spuase and telling the President I can't bow! "You're corrupt". And he quit his position as a Deputy Prime Minister!
2. What did Mkapa or Kikwete achieve before being a President? At least we saw what Mkapa did, the macros, the country was in shit before him. What does this present guy doing what Mrema couldn't accomplish?
3. WE are judging the guy; but we fail to know in a country like Tanzania, if at that time Mwl Nyerere had backed Mr. Mrema then he could be our President.
There are more factors than these factors; we in Tanzania are in a different world, and don't forget we are in Africa.
- Mkuu nimefika mahali sasa umenipoteza, katika miaka 45 ya uongozi wa taifa letu viongozi walikua wamefungwa midomo, suddenly ametokea rais wa kuwafungulia midomo and the first thing wanatakiwa kuanza na yeye badala ya kuisafisha system kwanza?
- Eti JF tunaweza kuwapangia strategy wapiganaji? Labda kuwapa ushauri tu so far they are on the right track, na wamefanikiwa kubadilisha mienendo mingi sana ya bunge kwa manufaa ya wananchi, kwa mfano siku hizi shughuli yoyote inayoihusu serikali ikibidi kufanyika nje ya nchi, ni lazima balozi yetu ihusishwe na nchi inayotakiwa kufanyika shughuli hiyo, matokeo yake ni kwamba ile tabia ya baadhi ya viongozi wetu kusaini mikataba mahotelini huko majuu, hakuna tena,
- Kiwira tayari iko njiani kurudi mikononi mwa wananchi, I mean a lot to show for katika kipindi kifupi sana as opposed na Mrema, ambaye hakuna anything cha kuonyesha zaidi tu ya Mrema, Mrema na Mrema, mkuu ukiona kiongozi anatoka sehemu ya uongozi halafu kila kitu kina-fall apart basi huyo sio kiongozi anayefaa ila ni mbinafsi, kama kweli Mrema alifanya mnayosema alifanya basi yangekua yanaendelezwa hadi leo, angalau hata Keeenja ana nafuu sana maana aliyoyafanya City yanafahamika.
- Huenda wapiganaji hawaendi kwa speed unayoitaka, lakini haraka haraka haina baraka mkuu.
Respect.
FMEs!
- Tunahitaji wananchi wasomi na viongozi wasomi, period!
Respect.
FMEs!
Rev. Kishoka:
Si kweli kabisa kuwa waafrika wanapenda prestige za USOMI. Kumbuka kuwa Mrema alikuwa mbunge wa kuchaguliwa. Na kama sikosehi alikuwa mbunge wa Kutoka mkoa wa Kilimanjaro.
Kilimanjaro ni mkoa unaongoza kwa kutoa wasomi. Lakini pamoja na hayo alichaguliwa kuwa mbunge.
Mzee Mwinyi naye hakuogopa kumpa uwaziri wa mambo ya ndani. Hivyo, ndugu Mrema alikuwa one step away kuwa President.
Kwa mujibu wa katiba yetu. Waziri mkuu, spika na mawaziri ni wabunge. Na mbunge yoyote yupo karibu sana na kushika madaraka ya uwaziri mkuu, uspika, uwaziri mpaka urais. Kichotakiwa ni bahati, jinsi ya kuchanga karata na personality.
Mrema ana strength zake kama charisma na guts. Lakini ana kasoro zake kama kutokuwa msikivu, kutofuata ushauri, kutokuwa na elimu.
Na kwa kipindi alichokuwa maarufu alishindwa tools za ku-minimize weakness zake.
67.-(1) Bila ya kuathiri masharti yaliyomo katika ibara hii, mtu
yeyote atakuwa na sifa za kustahili kuchaguliwa au kuteuliwa
kuwa Mbunge endapo-
(a) ni raia wa Jamhuri ya Muungano aliyetimiza umri wa
miaka ishirini na moja, na ambaye anajua kusoma na
kuandika katika Kiswahili au Kiingereza;
(b) ni mwanachama na ni mgombea aliyependekezwa na
chama cha siasa;
(c) katika kipindi cha miaka mitano kabla ya tarehe ya
Uchaguzi hakuwahi kutiwa hatiani katika mahakama
yoyote kwa kosa lolote la kukwepa kulipa kodi yoyote
ya Serikali.
39.-(1) Mtu hatastahili kuchaguliwa kushika kiti cha Rais wa
Jamhuri ya Muungano isipokuwa tu kama-
(a) ni raia wa kuzaliwa wa Jamhuri ya Muungano kwa
mujibu wa Sheria ya Uraia.
(b) ametimiza umri wa miaka arobaini;
(c) ni mwanachama, na mgombea aliyependekezwa na
chama cha siasa;
(d) anazo sifa za kumwezesha kuwa Mbunge au Mjumbe
wa Baraza la Wawakilishi,
(e) katika kipindi cha miaka mitano kabla ya tarehe ya
Uchaguzi Mkuu hajawahi kutiwa hatiani katika
Mahakama yoyote kwa kosa lolote la kukwepa kulipa
kodi yoyote ya Serikali.
3. WE are judging the guy; but we fail to know in a country like Tanzania, if at that time Mwl Nyerere had backed Mr. Mrema then he could be our President.
Lula wa Brazil si msomi, na nchi yake iko katika nchi kumi zenye uchumi bora duniani.
Eva Morales wa Bolivia si msomi lakini anaendesha nchi na kinaeleweka.
Ni Waafrika pekee tunaopenda Prestige za Usomi kama vile ni tija na njia ya kuleta maendeleo!
FMES,
Let me reverse the order of your post above with my questions.
You have stated we need a strong leasder, any suggestioins that you have that we may start pampering and sell his/her name to public as we prepare for 2010 or even 2015? Can you list at least 5 people that you think are right people to lead Jamhuri right now?
Nduguyo Mchungaji.
- Ni mapema mno kuanza kurusha majina arround, lakini wapo na ninaye one in mind ambaye binafsi tayari nimeshanza ku-invest in, lakini samahani ni mapema mno wasije wakaanza kupigwa mikwara.
FMEs!
Swali languni hili, tumebakiza mwaka mmoja kabla ya Uchaguzi Mkuu kufanyika, lakini unasema ni mapema mno kwa unayempigia debe kufahamika.
Je mgombea wako hajajiandaa kukabiliana na pingamizi na uchambuzi juu ya haiba yake na uwezo wake wa kuongoza mpaka awasilishe fomu kwenye Chama alichoko May 2010?
Kwa nini una hofu na kutoamini kuwa ukitupa majina jampo kadha tuyachambue kuwa wagombea wako hawatavuma.
Mwisho, ukiachilia huyo mmoja ambaye ni spesheli, je hao wengine masalia unaweza kutupa majina na kuwajengea hoja kwa nini wawe Rais wa Tanzania?
FMES,
Naomba kurudi nyuma kwenye swali moja nililokuuliza na ukanijibu.
Niliuliza
UkajibuSwali languni hili, tumebakiza mwaka mmoja kabla ya Uchaguzi Mkuu kufanyika, lakini unasema ni mapema mno kwa unayempigia debe kufahamika.
Je mgombea wako hajajiandaa kukabiliana na pingamizi na uchambuzi juu ya haiba yake na uwezo wake wa kuongoza mpaka awasilishe fomu kwenye Chama alichoko May 2010?
Kwa nini una hofu na kutoamini kuwa ukitupa majina jampo kadha tuyachambue kuwa wagombea wako hawatavuma.
Mwisho, ukiachilia huyo mmoja ambaye ni spesheli, je hao wengine masalia unaweza kutupa majina na kuwajengea hoja kwa nini wawe Rais wa Tanzania?
- Mchungaji, mgombea wangu nina hakika hawezi kushinda mwaka 2010, lakini ninaamini kwa 100%, kwamba atakapoingia 2015 hapatatosha, nitakuwa mwenda wazimu kujihusisha na kampeni za urais wa 2010 against Rais wa sasa, lakini ninasema hivi 2015 ni uwanja wa wazi kwa anybody,
- Na believe me I have been working my ass off on the project, toka mwaka jana nilipokaa naye chini kujadili hili la urais wa 2015, kwa mapana na marefu, itakuwa ni kampeni of the Century maana kuna wanaoamini kwamba Rais wa sasa atawapa bure tu, wasichoelewa ni kwamba by then atakua so weak that no one will pay him any mind.
- By then wananchi wa Tanzania watakuwa so careful kwamba hawatarudia makosa ya kumchagua kiongozi aliyelala, mkimya na ambaye hajawahi hata siku moja ku-take sides publicly na ishu controversial na serious kwa taifa letu, kama kina Salim, Mwandosya na Membe.
Mchungaji, subira yavuta heri mkuu!
Respect.
FMEs!
FMES,
Wewe unakaa Marekani, ![/QUOTE]
- Mchungaji sikai Marekani, na ni makosa makubwa sana ku-speculate location ya another member kwa sheria za JF, nikitaka kusema ninakoishi niache niseme mwenyewe,
- Si nilikuambia hua mnaanza wenyewe ya kunitafuta personal halafu nikijibu on the personal level hampendi, kwani Mchungaji hoja yako isingeeleweka bila ku-speculate my location?
- Ni lini umewahi kuniona niki-speculate location yako au ya member yoyote hapa mkuu? Unahitaji ku-apologize for this maana ni too low and uncalled for! I mean kwa nini siwezi kujadili hoja humu JF bila hizi lows za personal?
FMEs!
Your Answers:
1. He was the first Minister to catch a bust of Gold belonging to the President spuase and telling the President I can't bow! "You're corrupt". And he quit his position as a Deputy Prime Minister!
- Baada a kuzikamata then what was next? Hivi ni lini wa-Tanzania tutaweza kujadili ishus mpaka mwisho wa habari, siku zote huwa ni half truths tu,
- Sasa unakua shujaa kwa kuzikamata dhahabu za rais na kuziachia bila maelezo yoyote ya kisheria, halafu eti unajiuzulu cheo ambacho hakipo katika katiba ya Jamhuri, halafu kuna mnaosema hii comedy ni good enough to make Mrema a national hero, na hata a good president, I am missing something here or what?
- Eti Diria akiwa waziri wa nje, alipokuwa anapigwa stop kwenda Ujerumani kwa sababu ya kuhusika na madawa ya kulevya, Mrema alikuwa wapi? Si siku zote huyu alikuwa akiupitisha hapo hapo uwanja alikozikamata hizo dhahabu?
if at that time Mwl Nyerere had backed Mr. Mrema then he could be our President.
- Kiongozi maarufu kuliko wote at the time, akajitoa CCM ili aweze kuwakomboa wananchi, lakini tena akahitaji back up ya muanzilishi wa CCM ile ile aliyoikimbia kuwa rais wetu, what a national hero!
- Thank to God, kwamba Mwalimu was smart enough on this matter, ambapo alimshauri sana kugombea ubunge tu!
Respect.
FMEs!
Mkuu FMES respect...unajuwa walioibua suala la miakataba kusainiwa hotelini ni mashujaa wa upinzani wakiongozwa na dr slaaa, pamoja na mashujaa wa hapa JF....Waliotoa intelligence support and doziers...
Alichofanya kikwete ni kutumia akili ya kisiasa ...waswahili tunasema ,mchawi mpe mwana alee....,".... alimteua mmoja ya wapinzani aliyeshiriki kuwasulubu bungeni zittt kabwe....nadhani pale kikwete alitaka kuizima hii hoja kisiasa ..na ndio maana hoja ya buzwagi ni kama imekufa ....na utekelezaji wa ripoti ya jaji bomani hatuuelewi...., na wapinzani kuliongelea hawawezi tena ....kwani waziri atawapa jibu rahisi..."vuteni subira ...mlikuwa na wawakilishi wawili kwenye tume ya jaji ,...,waulizeni.
- Hapa tupo pamoja kwa 100%.
Hawa wapiganaji wa ccm ...ukweli ni kuwa wanapigwa vita sana ndani ya chama hata jk amekiri ...lakini wana ccm lazima kuelewa kuwa kama si wapiganaji hawa kupaza sauti wakiwa ndani basi CCM ilikuwa inakenda na maji .....kwani angalau sasa wananchi waeona kuwa kumbe hata ccm kuna wabunge wanawatetea...ndio maana upepo uendavyo kisiasa inaonekana kundi la mafisadi tayari limemtuma makamba kufanya ziara ya kuomba suluhu kwenye majimbo ya wapiganaji yaliyochafuliwa kama kwa sitta......ba kinafiki amewaomba wana tabora wahakikishe spika sitta anarudi bungeni na kumsifu kwingi.....tukielekea mwaka 2010 ...nadhani hata ..dizaini ya yule mbunge wa kigoma mjini wa ccm na wenzake wa aina hiyo chamani ambao wazi wanajulikana ni pro ufisadi ...watakiunga na vita ya kupinga ufisadi ili wawe na ajenda ya kushinda......mwakani ....
- Very strong mkuu, sina kuongeza wala kupunguza.
Respect.
FMEs!
Naomba kutoa hoja.
Hapa tuna demokrasia moja nzuri kabla ya vijembe kuanza na laiti vyama vyeetu vya siasa vikianza kutuiga kwa kuruhusu majadiliano ndani yao katiya wanachama wao yawe kama sisi.
Naomba kufafanua: Nimemleta Mrema na nimemjengea hoja na natetea hoja yangu. Kuna wanaounga mkono na kuna wanaopinga. Hii ni demokrasia.
Wanaounga mkono wanatoa sababu zao, wanaopinga wanatoa sababu zao, huu ni utaratibu mzuri na uungwana.
Sasa basi, ombi langu kwa wale wanaopinga na kusema Mrema hafai, naomba watupe majina ya watu wanaofikiri kwa mtazamo wao kuwa wanafaa kutuongoza au ni "Wazalendo" na Wapiganaji wa kweli, ili tuweze kuwachambua na kuwapima uwezo wao kuongoza.
That is the best quote of the day. Kama alivyosema Obama Ghana, Africa does not need strong men. It needs strong institutions.Rev Kishoka:
In long term, taifa ni lazima liwe na system nzuri ya utawala wa kikatiba ambao utamwezesha hata asiye na Elimu kutawala kama Professor. Na Fisadi kuongoza kama malaika.
Your Answers:
1. He was the first Minister to catch a bust of Gold belonging to the President spuase and telling the President I can't bow! "You're corrupt". And he quit his position as a Deputy Prime Minister!
- Bob ndio maana nilisema hivi in the absence of mashujaa, labda Mrema ndio anaweza kuwa shujaa. I mean alijiuzulu cheo ambacho hakitambuliwi na katiba ya Jamhuri?
- Sasa unaona madhara ya kukosa elimu, angekua nayo walipompa angekataa kwamba siwezi kushika cheo kisichokuwepo kwenye katiba, lakini yeye akakkubali tu tena bila hata kuapishwa na rais, kwamba yeye ni naibu waziri mkuu, no wonder Msuya waziri mkuu mpya alikifuta bila kumfahamisha.
Respect.
FMEs!