hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,451
- 6,325
Juzi hapa nilipata SMS kwenye simu yangu ikitoka Tigo, ikinikumbusha kujisajili kwa alama za vidole ili niweze kupata gawio langu la Tigo Pesa.
After 5 minutes nikapigiwa simu na mtu ambaye alijitambulisha kama ni wakala wa Tigo na akaanza kunipa maelezo ya jinsi ya kupata gawio langu.
Ila baada ya muda nikahisi jamaa ni tapeli sababu maelezo ambayo alikuwa ananipa yalikuwa ya kutoa pesa kwenye simu yangu kwenda kwenye simu yake.
Nikaanza kumrecord na mazungumzo yakawa kama hivyo.
Sasa nikawa nawaza je hawa matapeli watakuwa ni wafanyakazi wa hii mitandao ya simu? Walijuaje kama nimetumiwa SMS na Tigo ya kuhusu gawio?
Tuwe makini jamani
After 5 minutes nikapigiwa simu na mtu ambaye alijitambulisha kama ni wakala wa Tigo na akaanza kunipa maelezo ya jinsi ya kupata gawio langu.
Ila baada ya muda nikahisi jamaa ni tapeli sababu maelezo ambayo alikuwa ananipa yalikuwa ya kutoa pesa kwenye simu yangu kwenda kwenye simu yake.
Nikaanza kumrecord na mazungumzo yakawa kama hivyo.
Sasa nikawa nawaza je hawa matapeli watakuwa ni wafanyakazi wa hii mitandao ya simu? Walijuaje kama nimetumiwa SMS na Tigo ya kuhusu gawio?
Tuwe makini jamani