Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Umoja wa Africa (AU) unakabiliwa na matatizo ya kifedha kiasi cha kushindwa kutekeleza majukumu yake ipasavyo.
Mmoja wa Makamishna kwenye Kamisheni ya umoja huo umeshindwa kuendesha shughuli zake za kila siku baada ya nchi kadhaa kukataa kulipa ada za uanachama. kamishna huyo ameongeza kuwa, nchi za kiarabu ambazo kwa zinakumbwa na misusuko kama vile Misri, Libya, Morocco na Tunisia ndizo huchangia kiasi kikubwa cha fedha kwenye umoja huo na hali ya hivi sasa imepelekea nchi hizo kushindwa kulipa ada ya uanachama na hivyo kukwamisha shughuli za kila siku za Umoja wa Africa.
SOURCE: AP
Mmoja wa Makamishna kwenye Kamisheni ya umoja huo umeshindwa kuendesha shughuli zake za kila siku baada ya nchi kadhaa kukataa kulipa ada za uanachama. kamishna huyo ameongeza kuwa, nchi za kiarabu ambazo kwa zinakumbwa na misusuko kama vile Misri, Libya, Morocco na Tunisia ndizo huchangia kiasi kikubwa cha fedha kwenye umoja huo na hali ya hivi sasa imepelekea nchi hizo kushindwa kulipa ada ya uanachama na hivyo kukwamisha shughuli za kila siku za Umoja wa Africa.
SOURCE: AP