"Au kwa sababu mimi ni mlemavu"

"Au kwa sababu mimi ni mlemavu"

Chinedu5

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2015
Posts
784
Reaction score
2,815
Habari zenu wana Jf..!!
Niingie moja kwa moja kwenye Mada...niliwahi kukutana na msichana mrembo sana,basi nilifanya yanayotakiwa kufanywa mpaka nikawa na mahusiano nae..!!lakini huyu msichana kiganja chake cha mkono mmoja kilikuwa kimepinda,kwa maelezo yake anasema alipata ajali akiwa mdogo ndo akaumia....kwa muonekano wa harakaharaka huwezi kuona hiyo kasoro,mpka umtizame kwa ukaribu,na hicho kiganja anaweza akafanyia shughuli zote!!


Sasa shida ilikuja huyu binti hakuwahi kujiamini hata mara moja,mkipishana kauli kidogo,usipo pokea au kujib calls zake basi apo atalalamika,atalaumu kunung'unika na kauli yake kubwa ni "kwa sababu mimi ni mlemavu....."...kiukweli hii kauli ilikuwa inanikera mno na kunihuzunisha muda mwingine!...nilijitahidi sana kuvumilia(mimi ni mvumilivu sana[emoji2][emoji4]) lakini kama binadamu ikafika kipindi nikachoka,baada ya kumweleza bila mafanikio...ilivyo bahati nkapata safari ya kwenda mkoani na ikawa njia rahisi mimi kuachana nae politely basi tukatengana!!

Sasa jana,baada ya muda mrefu kupita akanitafuta,sijui katoa wapi namba yangu,yaani karudi mzima mzima,nimemueleza kwa sasa nina mahusiano mapya ila yeye hajali hilo yupo tayari kwa lolote,sipo tayari kuwa nae kwa sababu ya hiyo tabia yake,mana ata nikisema "hit and run" naona ataumia sana na sitaki kufanya huvyo kwa sababu ananipenda sana kupita maelezo!!nipo dilemma sijui hata nmfanyaje au nimueleze kitu gani asiumie[emoji17][emoji17]
 
Yani mkuu umemuacha sababu hiyo tu?

Ulikuwa unampenda?
 
Piga chini, ukiona mwanamke hashauriki piga chini.
 
Habari zenu wana Jf..!!
Niingie moja kwa moja kwenye Mada...niliwahi kukutana na msichana mrembo sana,basi nilifanya yanayotakiwa kufanywa mpaka nikawa na mahusiano nae..!!lakini huyu msichana kiganja chake cha mkono mmoja kilikuwa kimepinda,kwa maelezo yake anasema alipata ajali akiwa mdogo ndo akaumia....kwa muonekano wa harakaharaka huwezi kuona hiyo kasoro,mpka umtizame kwa ukaribu,na hicho kiganja anaweza akafanyia shughuli zote!!


Sasa shida ilikuja huyu binti hakuwahi kujiamini hata mara moja,mkipishana kauli kidogo,usipo pokea au kujib calls zake basi apo atalalamika,atalaumu kunung'unika na kauli yake kubwa ni "kwa sababu mimi ni mlemavu....."...kiukweli hii kauli ilikuwa inanikera mno na kunihuzunisha muda mwingine!...nilijitahidi sana kuvumilia(mimi ni mvumilivu sana[emoji2][emoji4]) lakini kama binadamu ikafika kipindi nikachoka,baada ya kumweleza bila mafanikio...ilivyo bahati nkapata safari ya kwenda mkoani na ikawa njia rahisi mimi kuachana nae politely basi tukatengana!!

Sasa jana,baada ya muda mrefu kupita akanitafuta,sijui katoa wapi namba yangu,yaani karudi mzima mzima,nimemueleza kwa sasa nina mahusiano mapya ila yeye hajali hilo yupo tayari kwa lolote,sipo tayari kuwa nae kwa sababu ya hiyo tabia yake,mana ata nikisema "hit and run" naona ataumia sana na sitaki kufanya huvyo kwa sababu ananipenda sana kupita maelezo!!nipo dilemma sijui hata nmfanyaje au nimueleze kitu gani asiumie[emoji17][emoji17]
Au kwa kua yeye ni mlemavu ndio maana hutaki kurudiana naye?
 
Hayo mahusiano yako mara huyu mara yule unataka wafike wangapi ndio uoe ? au unakaa tu na mwanamke akikutenda unaachana naye unachukua mwingine?Ukinipa jibu hapa ntajua nikusaidie vipi...
 
Yani mkuu umemuacha sababu hiyo tu?

Ulikuwa unampenda?
Hiyo tu,mwanamke mlalamishi sana,na wivu ulopitiliza....unajua hata vitu vya kawaida anakuja na hiyo excuse,haka akizingua huwezi kummind
 
Hayo mahusiano yako mara huyu mara yule unataka wafike wangapi ndio uoe ? au unakaa tu na mwanamke akikutenda unaachana naye unachukua mwingine?Ukinipa jibu hapa ntajua nikusaidie vipi...
Ukifika muda sahihi na mtu sahihi basi nitaoa,siwezi kukurupuka kwenye hili kwa sababu nmeona mengi sana kwa waliotangulia mema na mabaya ya ndoa
 
Sasa ulitakiwa kum badilisha sio kumuacha,

Yeye anajiona hivyo
Hiyo tu,mwanamke mlalamishi sana,na wivu ulopitiliza....unajua hata vitu vya kawaida anakuja na hiyo excuse,haka akizingua huwezi kummind
 
Hivi ninyi mna kismat hadi mnapata wanawake wa kuwaacha acha tu,
Mi nikiona dalili zote za kupendwa na mwanamke kupita kiasi, hakika nitatulia tuli.
 
Ukifika muda sahihi na mtu sahihi basi nitaoa,siwezi kukurupuka kwenye hili kwa sababu nmeona mengi sana kwa waliotangulia mema na mabaya ya ndoa
Sasa kwahicho unachokifanya unahatarisha maisha yako,ukichukulia kwa sasa maradhi ni mengi na pia kiimani unachokifanya ni dhambi,ila kwa ushauri ni kuwa omba mungu akujalie uweze kupata mke mwema,ila kwa kufanya hicho unachokifanya utaota mvi na usipate mke...
 
Sasa ulitakiwa kum badilisha sio kumuacha,

Yeye anajiona hivyo
Mkuu nmejaribu sana,nmemwambia maneno yote mazuri ya duniani,nmemsifia kila mara lakini habadiliki
 
Hivi ninyi mna kismat hadi mnapata wanawake wa kuwaacha acha tu,
Mi nikiona dalili zote za kupendwa na mwanamke kupita kiasi, hakika nitatulia tuli.
Usiombe hicho kitu,kama kuna usumbufu duniani basi nikupendwa sana na mwanamke,atakuganda atakuchunguza nje ndani...ingewezekana tungebadilishana kismart[emoji2]
 
Sasa kwahicho unachokifanya unahatarisha maisha yako,ukichukulia kwa sasa maradhi ni mengi na pia kiimani unachokifanya ni dhambi,ila kwa ushauri ni kuwa omba mungu akujalie uweze kupata mke mwema,ila kwa kufanya hicho unachokifanya utaota mvi na usipate mke...
Sawa nimekuelewa sana mkuu
 
Back
Top Bottom