Atriplar ni trade name, ni mchanganyiko wa dawa tatu. Angalizo langu ni kuwa kabla ya kutumia dawa hii lazima upimwe figo zako kama zinafanya kazi vizuri. Tafadhali onana na daktari kwanza kabla ya kuanza kutumia dawa.
Nipo tayari kwenye regimen ya Atripla. Nilikuwa diagnosed wakat nipo shuleni mwaka juzi na nikaanzishwa Atripla Wakati nipo huko ughaibuni. Sasa nimerudi nyumbani baada ya shule and najiuliza kama nitaweza kuendelea kupata Atripla from CTC hapa nyumbani maana nilizokuja nazo zita last for only 6 more weeks.
ATRIPLA zipo kibao(EFZ/TDF/FTC) 1100Mg tabs.,ndizo zinazotumika Bongo,.Hata hivyo ukiikosa ukapata mchanganyiko wa TRUVADA na EFZ bado unapata ATRIPLA HIYO HIYO ,.usikonde
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.