Ati, "inategemea". 🤮

Lakini mkuu, neno 'inategemea' linaporudiwa huwa linakera sana. Naona hata wife analitumia mara kadhaa, labda ndiyo maana nikilisikia huwa nakereka tu.
Basi ndio sababu binti analitumia sana, kama mkeo ana tabia ya kutumia vibwagizo fulani, ni rahisi sana watoto kuiga.
 
Karibu nyumbani Mzee mwenzangu. Binti yangu nikiwapa wala sitakuwa na mashaka kabisa.
Tutakaribia mkwelima, bora turudie miaka yetu ya 47 kuchagulia wake/waume vijana wetu

Nahisi itasaidia kupunguza hizi talaka zinazotolewa kama njugu miaka hii
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…