ERoni JF-Expert Member Joined Jan 9, 2013 Posts 54,469 Reaction score 126,705 Yesterday at 7:03 AM #41 secretarybird said: Lakini mkuu, neno 'inategemea' linaporudiwa huwa linakera sana. Naona hata wife analitumia mara kadhaa, labda ndiyo maana nikilisikia huwa nakereka tu. Click to expand... Basi ndio sababu binti analitumia sana, kama mkeo ana tabia ya kutumia vibwagizo fulani, ni rahisi sana watoto kuiga.
secretarybird said: Lakini mkuu, neno 'inategemea' linaporudiwa huwa linakera sana. Naona hata wife analitumia mara kadhaa, labda ndiyo maana nikilisikia huwa nakereka tu. Click to expand... Basi ndio sababu binti analitumia sana, kama mkeo ana tabia ya kutumia vibwagizo fulani, ni rahisi sana watoto kuiga.
secretarybird JF-Expert Member Joined Aug 22, 2024 Posts 21,039 Reaction score 42,775 Yesterday at 7:13 AM Thread starter #42 ERoni said: Basi ndio sababu binti analitumia sana, kama mkeo ana tabia ya kutumia vibwagizo fulani, ni rahisi sana watoto kuiga. Click to expand... Sasa nimeamini kuwa usipoziba ufa utajenga ukuta.
ERoni said: Basi ndio sababu binti analitumia sana, kama mkeo ana tabia ya kutumia vibwagizo fulani, ni rahisi sana watoto kuiga. Click to expand... Sasa nimeamini kuwa usipoziba ufa utajenga ukuta.
Monetary doctor JF-Expert Member Joined Oct 20, 2022 Posts 12,311 Reaction score 23,156 Yesterday at 7:18 AM #43 Ushanifahamu
secretarybird JF-Expert Member Joined Aug 22, 2024 Posts 21,039 Reaction score 42,775 Yesterday at 7:22 AM Thread starter #44 Monetary doctor said: Ushanifahamu Click to expand... Ndiyo!
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 20,058 Reaction score 61,287 Today at 1:21 PM #45 secretarybird said: Karibu nyumbani Mzee mwenzangu. Binti yangu nikiwapa wala sitakuwa na mashaka kabisa. Click to expand... Tutakaribia mkwelima, bora turudie miaka yetu ya 47 kuchagulia wake/waume vijana wetu Nahisi itasaidia kupunguza hizi talaka zinazotolewa kama njugu miaka hii
secretarybird said: Karibu nyumbani Mzee mwenzangu. Binti yangu nikiwapa wala sitakuwa na mashaka kabisa. Click to expand... Tutakaribia mkwelima, bora turudie miaka yetu ya 47 kuchagulia wake/waume vijana wetu Nahisi itasaidia kupunguza hizi talaka zinazotolewa kama njugu miaka hii