Watajuana waoJana kuna mtu kapost screenshot kwamba anaona PM za watu. Na moja ya zile Screenshot Mume mwenzio 11 na Profile Picture yake inaonekana.
Ameanza na Neno kuwa "Seran , achana na yule bwege ndege.... " ikaishia hapo. Ila ilikuwa inaendelea.
Kama hukuiona, basi Mwenye nayo ataiweka uione.
Ila Mume mwenzio anakasagia kunguni balaa.
NB: Natania.
ila screenshot iko ya Yeye 11 akikusagia kunguni.
Inategemea, ina maanisha jambo lipo 50/50 kwamba kuna mazingira yanaweza kupelekea yeye kwenda saluni ama kutokwenda.
Karibu nyumbani Mzee mwenzangu. Binti yangu nikiwapa wala sitakuwa na mashaka kabisa.Inategemea, ina maanisha jambo lipo 50/50 kwamba kuna mazingira yanaweza kupelekea yeye kwenda saluni ama kutokwenda.
BTW, nikupe hongera kukuza
Kama hautajali, tuanze kuitana mkwelima.
Kijana wangu wa kwanza, anatafuta mke huu mwaka wa 4 anasema bado hajapata chaguo sahihi
Ngoja nitafute Wazee wenzangu tuje kuyajenga, tupo radhi kusubiri miaka 7 ijayo hadi binti amalize shahada yake ya kwanza
Good morning 🥂
Umenikumbusha sijamlipia binti yangu wa form four mchango wa graduation...Leo mchana binti yangu wa form four
Vyema kabisa. ✅Umenikumbusha sijamlipia binti yangu wa form four mchango wa graduation...
Ngoja nifanye jambo.
bwege ndege Bado upo? 😄Jana kuna mtu kapost screenshot kwamba anaona PM za watu. Na moja ya zile Screenshot Mume mwenzio 11 na Profile Picture yake inaonekana.
Ameanza na Neno kuwa "Seran , achana na yule bwege ndege.... " ikaishia hapo. Ila ilikuwa inaendelea.
Kama hukuiona, basi Mwenye nayo ataiweka uione.
Ila Mume mwenzio anakasagia kunguni balaa.
NB: Natania.
ila screenshot iko ya Yeye 11 akikusagia kunguni.
bwege ndege Bado upo? 😄
Hii PM si yangu, kuna jamaa jana alituma screenshot nyingi sana. Mimi nikazichukua.Kijana sikuwezi, pm zako za moto! 😁
mbona hiyo niliyohusishwa siioni?lol😄
eeh itategemea kana hajapata hela je?
Ni nani huyo jamaa na umezichukua for future use au?Hii PM si yangu, kuna jamaa jana alituma screenshot nyingi sana. Mimi nikazichukua.
Hivi yule jamaa aliyeweka zile screenshot ni nani mkuu? Nimesahau 🆔 yake.Jana kuna mtu kapost screenshot kwamba anaona PM za watu. Na moja ya zile Screenshot Mume mwenzio 11 na Profile Picture yake inaonekana.
Ameanza na Neno kuwa "Seran , achana na yule bwege ndege.... " ikaishia hapo. Ila ilikuwa inaendelea.
Kama hukuiona, basi Mwenye nayo ataiweka uione.
Ila Mume mwenzio anakasagia kunguni balaa.
NB: Natania.
ila screenshot iko ya Yeye 11 akikusagia kunguni.
Nilitaka nijue kilichofanya siku ile mpigwe ban.Ni nani huyo jamaa na umezichukua for future use au?
Nilimwelewa, lakini nilikereka mtoto mdogo kama yeye kunijibu kwa mkato. Heshima imeshuka kama chupi ya malaya wa kimboka.Alimaanisha hakukuelewa umeuliza au umemwambia ndio maana akajibu inategemea jibu litabadilika kullingana na uhalisia wa swali!
"Leo mchana binti yangu wa form four nilimwambia, huendi kunyoa nywele?"
Ndio inategemea manake alinicheki nikamwabia hela ikitiki nitamrushia ya kukata au kusuka. Dingi Lai punguza mpresha mzee wa 70’s.Badala ya kunijibu ndiyo au hapana, yeye akanijibu, "inategemea". 🤮🤮🤮
Kuwajibu wazee kwa lugha ya mkato ni kitu mbofu sana.Ndio inategemea manake alinicheki nikamwabia hela ikitiki nitamrushia ya kukata au kusuka. Dingi Lai punguza mpresha mzee wa 70’s.
Lakini mkuu, neno 'inategemea' linaporudiwa huwa linakera sana. Naona hata wife analitumia mara kadhaa, labda ndiyo maana nikilisikia huwa nakereka tu.Hapo ni 50/50. Kuna uwezekano asinine kwa sababu fulani, au anyone kama unavyotaka.
Hongera kwa kuwa na binti wa form 4 mkuu, umekuza.