kipoma
JF-Expert Member
- Aug 27, 2012
- 325
- 169
Habarini,
Moja kwa moja kwenye uzi.
Chanzo cha walimu kuwa kwenye maisha magumu na maslahi duni ni kutokana na ukatili wa walimu wa mwanzo kabisa waliofundishwa na wakoloni kwa ukatili, yaani fimbo sana, manyanyaso kwa wanafunzi wa wakati huo ambapo urithi wa ukatili umeendelea mpaka zama hizi.
Kwanini walimu wawe duni kimaisha ni kwa sababu mtu akipata madaraka hawezi kupigania maslahi ya mwalimu maana anakumbuka kuwa alifanyiwa vibaya hivyo hakuna haja ya kumpigania mtu hatari, ndiyo maana kada duni ni ualimu kwa level zote yaani walimu wa msingi mpaka vyuo vikuu ni hoi.
Hapa ukatili upo mwingi hata kutungiwa mitihani migumu, kufelishwa, kutopewa alama za halali kwenye mitihani na nk. Walimu badilikeni na jamii ibadilike ili viongozi wawakumbuke katika tawala zao.
Moja kwa moja kwenye uzi.
Chanzo cha walimu kuwa kwenye maisha magumu na maslahi duni ni kutokana na ukatili wa walimu wa mwanzo kabisa waliofundishwa na wakoloni kwa ukatili, yaani fimbo sana, manyanyaso kwa wanafunzi wa wakati huo ambapo urithi wa ukatili umeendelea mpaka zama hizi.
Kwanini walimu wawe duni kimaisha ni kwa sababu mtu akipata madaraka hawezi kupigania maslahi ya mwalimu maana anakumbuka kuwa alifanyiwa vibaya hivyo hakuna haja ya kumpigania mtu hatari, ndiyo maana kada duni ni ualimu kwa level zote yaani walimu wa msingi mpaka vyuo vikuu ni hoi.
Hapa ukatili upo mwingi hata kutungiwa mitihani migumu, kufelishwa, kutopewa alama za halali kwenye mitihani na nk. Walimu badilikeni na jamii ibadilike ili viongozi wawakumbuke katika tawala zao.