Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,871
- 155,840
1. Inaibua chuki na hasira kati ya wazawa na serikali yao
2. Inaibua chuki kati ya weusi na wahindi
3. Inasababisha na kuongeza hisia kuwa nchi imeuzwa.
4. Inatuongezea machungu na kutukumbusha Nyerere aliye zinyang'anya na kuzitaifisha.
5. Inaibua wazo changa akilinoi mwetu kuwa nchi imeuzwa
6. Mtaji mkubwa kwa CHADEMA 2015 kuingia ikulu
2. Inaibua chuki kati ya weusi na wahindi
3. Inasababisha na kuongeza hisia kuwa nchi imeuzwa.
4. Inatuongezea machungu na kutukumbusha Nyerere aliye zinyang'anya na kuzitaifisha.
5. Inaibua wazo changa akilinoi mwetu kuwa nchi imeuzwa
6. Mtaji mkubwa kwa CHADEMA 2015 kuingia ikulu