Athari za Marafiki katika Mahusiano ya Kimapenzi

Athari za Marafiki katika Mahusiano ya Kimapenzi

Ulichoongea ni point ya kugonga mkaka yani nimekuzimikia kwa somo hapo juu hasa kipengele hichi "Ndio hatukatai kuwa katika group la marafiki huwa kuna story za aina mbalimbali lakini si vema kuongea mambo ya ndani ya kwako na mwenza wako kwa rafiki kwasababu dunia ya sasa kumpata rafiki wa kweli ni vigumu sana tena sana. "
 
yanii nashindwa kukoment hapa umesema yote, ni vyema kuwapotezea marafiki na sio vyema ukawapa kila kitu cha ndani ya mahusiano yenu" bigup meeeen umenena"Kuna baadhi ya mahusiano huwa yanakuwa imara sana kutokana na misimamo ya wahusika, mtu huwezi kusikia jambo linalomhusu mwenzi wako halafu ukachukua hatua moja kwa moja au kununa au kupoteza kabisa mawasiliano.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom