ATCL saga

Chizi was acting thus all. Sasa tatizo liko wapi? Uteuzi wake haukufuata sheria. Wadau tunapwaswa tuangalie sheria iliyokiukwa lakini mengine zaidi ya hayo ni majungu. Maswala ya bank accounts yanatoka wapi? Na vitu ulivyoandika hapo ni majungu matupu. Hizo nauli unazotaja ni promotional fares and as times goes when ATCL has penetrated tu he market they will pick up. Halafu unapoandika jaribu kuwa objective. Unapolinganisha nauli za operators wengine utoe na vigezo vilivyotumika kupanga nauli hizo. Hakuna mtu anakurupuka na kupanga nauli toka usingizini. Na hiyo lease cost unachosema sio kweli maana configuration ya ndege inatofautiana na hicho ndicho kinachoelekeza costs. Unatoka kusema configuration ya ndege ya ATCL ni sawa na PW au unajifnya advocate wa mtu. Kabla hujaleta uzi kama huu ulipashwa uje na facts toka kwa yule aliyekuwapa hiyo information. Sasa wewe umeleta fabrications. Na unaposema kuwa ana MBA in Aviation that's a general vague input. In aviation industry there are many sectors like Avioonics, Planning, services, maintenance, operations, network planning na mengineyo. Sasa unataka kusema MBA ya Chizi iko concentrated to cover all areas hence worthy being unique. What a lie
 
Mleta mada jitahidi kufatilia habari kwa undani kuliko kuleta lawama zisizo na hoja.

Uteuzi wa Chizi haukufata kuwa kaimu haukufata sheria ya utumishi wa umma na hicho ndo kilichotenguliwa na wala si kwa ufisadi. Haina maana kama tunachagua viongozi walinde sheria na waache mambo yaende ndivyo sivyo eti tu kuna uzalendo.

Subiri utaratibu ufuatwe then atakuwa CEO na wala sio kaimu.

Tukiishi kwa njia hii hatutafika mbali kimaendeleo.
 
The worst thing is anayelalamikiwa alikuwa ana-KAIMU hizi sifa zinazotakiwa hizi kweli kazi ipo Tanzania.
 
Utaratibu wa uteuzi wa CHIZI haukufuatwa jamani nani kasema Chizi ana makosa?
You never know anaweza kuwa the next CEO maana ata aliyepo anakaimu
 
Paul Chizi amewachishwa kutokana na utaratibu mbovu wa kumuajiri. Kuna uwezekano mkubwa kabisa akarudishwa kwa kufuata taratibu ili baadae kusiwe na malalamiko.

Sioni ubaya wa kusimamishwa mtu kwa kuwa aliajiriwa bila taratibu kufatwa na ikiwa taratibu zitafatwa na yeye ana qualify kama taratibu zikifatwa sioni sababu kwanini asiajiriwe tena.

Utaratibu sahihi ni upi?
na utaratibu uliofuatwa ni upi?
 
Wadau,

Nasikitika kwamba badala ya mimi kushangilia maamuzi ya waziri, kwa hili naomba nionyeshe masikitiko yangu makubwa hasa kwa mtu muelewa kama Dr Mwakyembe. Alichokifanya mh huyu ndo yale yale ambayo yalilalamikiwa nab w Lowasa wakati ule, maamuzi ambayo hayatokani na utafiti bali mujungu na kutafuta kuonekana kutenda hata kama unafanya madudu.


  1. ATCL kwa mara ya kwanza mefanikiwa kupata ndege ya kukodi kwa bei chini ya wastani wa bei ya soko (block hour rate below market standard) ambayo kama nakumbuka vema ni USD 1,700 wakati soko liko USD 2,400
  2. Kwenye mkataba huu ambao wakubwa wanasikitika kupigwa chenga ya mkataba ambayo kwa kawaida ndiyo sehemu ya ulaji wa wakubwa wetu, umeondoa yale mazoea ya kulipa kishika uchumba (down/advance payment) ambayo nayo huwa inachakachuliwa na wakubwa. Badala yake hii ya sasa ni kulipa kutokana na matumizi based on block hour usage
  3. Market penetration yao ambayo return ticket ya KIA ni tzs 199k (against 340k ya PW) na Mwanza tzs 199k (tzs 420 ya PW) ambayo kwa wale wanaotumiwa na wazito wa PW, wameona ATCL ni threat at least kwa hizo routes mbili.
  4. Majungu kwamba ATCL management amepokea hela nyingi na kuzifuja during month of May ambapo mpaka waziri na naibu wake walinitembelea hapa J3 asubuhi na kuwapa ukweli bayana (as we are the only banker of ATCL) and yet wamekwenda kufanyia kazi fitna na mujungu
  5. Paul Chizi ambaye alikuwa sourced from Community Air, being of less than 5 Tanzanians who pocess an MBA in Aviation, leo mnasema vifungu vilikiukwa na ukweli unafahamika mtendaji mkuu wa wizara ni katibu mkuu…So, wa kuwajibika ni Eng Chambo ambaye ndiye alikuwepo Aug last year wakati Paul Chizi anapewa nafasi ya kukaimu u-CEO wa ATCL.
  6. ATCL kulaumiwa kulipa deni la Ultimate Security above $0.9m wakati kesi iliamuliwa na mahakama ya biashara Mar 2011 ambapo uongozi huu haukuwepo madarakani, ATCL hakuwa na pesa na hivyo serikali kupitia barua ya Eng Chambo kucommit kulipa deni ambalo hata hivyo kila wakiandikiwa barua wanapotezea kwa zaidi ya mwaka. Matokeo last week ATCL amepata mpunga wa malipo ya bima ya ndege iliyotembelea tumbo Kigoma, mdeni akawahi mahakamani na kuleta zuio la hela benki (garnishee nisi) na tumezuia pesa ambapo ATCL amerejea mahakamani kuomba kesi itizamwe upya na kukubaliana payment plan, yet wanasemwa kuwa wametumbua pesa.
Tunabaki tunakurupuka kama kawaida yetu na kuishia kuwaonyesha watanzania kwamba kukosoa kumbe ni rahisi kuliko kuongoza. Tunaishi kwa majungu na utafutaji wa njia za mkato wa kupata umaarufu kwa wananchi.


Natamani kama ningeyasema haya ana kwa ana badala ya kuyaandika. Lakini naona mazingira hayaruhusu. Binafsi nimefuatilia hili sakata toka early last week, nimeketi na watendaji wakuu wa ATCL, Wizara na mpaka juzi waziri na naibu wake. Ajabu sana, narudia tena ajabu sana uvumi kwamba nia ni kumg’oa Chizi ili awekwe ndugu wa mh toka nyumbani kwetu Mbeya nilikuwa nayo toka 28 May 2012. Mwisho wa siku ndicho kilichotokea.

Stanbic ndo sole banker wa ATCL, sasa mtu anaposema kuna fedha zimefunjwa wakati ATCL hajawahi kuwa na hela ndani ukiachilia ka-OD kadogo ambako tuliwapa ili waweze kuwa wanalipia mafuta PUMA Energy, maelekezo ya kulipa tumekuwa tunafanya wenyewe hapa ndani, pesa pekee walopata mwezi May ni ya mshahara toka serikalini few millions. Then mtu anasema wamefuja?!?

Unless mtu anambie kuna pesa ATCL alikuwa anapelekewa cash na serikali pale ofisini kwao, kitu ambacho ni non sense.Wadau,

==> Si maneno yangu wana jamvi, bali ni maneno ya mdau wa karibu wa Stanbic<===

Haya yote ni majungu tu. ukitaka kupata ukweli subiri uchunguzi ufanyike.
Kwanza nikufahamishe tu kipindi kile nilikuwa na P. Chizi pale community mimi nikiwa Mwanza. Na mpinzani wetu mkubwa alikuwa PW tukafikiri nguvu ya pesa na matangazo ya bure yangetusaidia. Wapi bwana!! nafikiri ni zaidi ya hapo. Wenzangu wa sahara walikuwa kila saa hewani kuhakikisha kila mtu anafikiwa na taarifa zetu.
Unajua biashara ya usafiri wa anga sio kama wengi wetu mnavyodhania.
Unapozungumzia aviation MBA zipo 5 ungejiuliza hao wengine wapo wapi? Najua wengi waliosomeshwa na Precision huko ufaransa. Kama unakumbuka uzindizi wa ndege za PW yule balozi mfaransa alisema hilo. Hivyo huko PW zitakuwa zipo nyingi tu. nakumbuka kikao cha mwisho nikiwa community kipindi hicho mafuta hayakuwa ghali kama sasa, kile kikao tuligundua kila tuliporusha ile ndege tulitengeneza hasara ya kama milioni nane hivi. Ikaonekana ni busara kupunguza kuruka kumbe ndio tunajimaliza.
Kwa ujumla tuache ushabiki manake mtakapoletewa hati ya madai(invoice) za ndege utashangaa ni mamilioni tu.
Niwape mfano mdogo tu:
ndege ya ATC inabeba abiria 100. Kwa nauli mlizosema za 199,000 kwenda mwanza na kurudi ni (100 X 2) X 199,000 unapata kama 39,800,800.(angalizo hapo viti vyote viwe na abiria).
Mafuta kwenda na kurudi ni kama 10,000usd. kwenda na kurudi ni masaa matatu(1700 X 3) =5100usd. huduma ardhini 1000usd. ukijumlisha unapata usd 16100. hii ni sawa na (16100 x 1600) tzs 25,760,000/-
Hapo utaona tofauti ni kama milioni 14. ukitoa kodi za serikali karibia (62,000 X 200) ni sawa na milioni 12.6.
Sasa hapo hujazungumzia hoteli ya hao wahudumu, usafiri, mishahara, gharama za kutumia airport, kupaki ndege, na mengine mengi.
Kuna biashara hapo???
Tuache kukurupuka tujenge hoja kuona nini kifanyike tuwe na international airline ambayo italeta abiria hapa wa kutosha ili tufaidike kwa njia nyingine lakini sio hii ya sasa.
napita tu wandugu, ngoja niwahi mwaloni.
 
Kama Kweli taratibu hazikufatwa hana Budi akae pembeni hata kama awe 'jembe' kiasi gani bwana Chizi..na wala izo taratibu hazimuhusu ni Serikali yenyewe itasimamia mchakato huo. Na wala ukiangalia kwenye list ambayo watakaochunguzwa hayumo..so Wadau wa Chizi Punguzeni Jazba."Kuanza upya sio Ujinga" Uongozi wa sasa sio wa Kusign sign tuuu lazima uwe "Thomaso"

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Muongo mkubwa wee.... Imagine u hear such a cooked story like this, sweeted with liars carefully formulated as if ur ab aviation expert.... of which ur not..... I am experienced flyer.... Leo Alhamis Waziri Mwakyembe kaja ATCL Terminal One kuongea na wafanyakazi woote, i was there... KAWEKA KILA KITU PUBLIC... Mpaka wafanyakazi tumeshangaaa.... Uozo ulioko ATC....
One example ... Hiii ndege iliyokodiwa....
1: hata kopi ya mkataba AG hana
2: Wizara haina Mkataba
3: ATCL walipewa waoperate 3 months free... Kumbe mkataba unaitaka ATCL wailipie hiyo ndege insurance ya miaka kadhaa huko nyuma.... Kumbe ndege inadaiwa billions of Tsh na insurance huko itokako....
Pili Katibu mkuu aliagiza ndege isiruke na wafanyakazi wa ATCL kwenda Mwanza na kurudi, eti wanasherehekea, imagine ndege inaruka free na wafanyakazi Dar - Mwanza - Dar.... UNASHEREHEKEA NINI? Chizi alikaidi amri ya Katibu mkuu....
Pili... Uteuzi wa Chizi hukufuata taratibu na kanuni za utumishi wa umma.... This does not mean or inaondoa kwamba Chizi sio aviator mzuri....
Kikao cha leo kila mmoja alishangaa na kubaki kumshangilia Mwakyembe....
So stop coming here with story ya mtu wa Stanbic....
Stanbic.... Kazi yao ni finance tu... Si ndege, period...



Wadau,

Nasikitika kwamba badala ya mimi kushangilia maamuzi ya waziri, kwa hili naomba nionyeshe masikitiko yangu makubwa hasa kwa mtu muelewa kama Dr Mwakyembe. Alichokifanya mh huyu ndo yale yale ambayo yalilalamikiwa nab w Lowasa wakati ule, maamuzi ambayo hayatokani na utafiti bali mujungu na kutafuta kuonekana kutenda hata kama unafanya madudu.


  1. ATCL kwa mara ya kwanza mefanikiwa kupata ndege ya kukodi kwa bei chini ya wastani wa bei ya soko (block hour rate below market standard) ambayo kama nakumbuka vema ni USD 1,700 wakati soko liko USD 2,400
  2. Kwenye mkataba huu ambao wakubwa wanasikitika kupigwa chenga ya mkataba ambayo kwa kawaida ndiyo sehemu ya ulaji wa wakubwa wetu, umeondoa yale mazoea ya kulipa kishika uchumba (down/advance payment) ambayo nayo huwa inachakachuliwa na wakubwa. Badala yake hii ya sasa ni kulipa kutokana na matumizi based on block hour usage
  3. Market penetration yao ambayo return ticket ya KIA ni tzs 199k (against 340k ya PW) na Mwanza tzs 199k (tzs 420 ya PW) ambayo kwa wale wanaotumiwa na wazito wa PW, wameona ATCL ni threat at least kwa hizo routes mbili.
  4. Majungu kwamba ATCL management amepokea hela nyingi na kuzifuja during month of May ambapo mpaka waziri na naibu wake walinitembelea hapa J3 asubuhi na kuwapa ukweli bayana (as we are the only banker of ATCL) and yet wamekwenda kufanyia kazi fitna na mujungu
  5. Paul Chizi ambaye alikuwa sourced from Community Air, being of less than 5 Tanzanians who pocess an MBA in Aviation, leo mnasema vifungu vilikiukwa na ukweli unafahamika mtendaji mkuu wa wizara ni katibu mkuu…So, wa kuwajibika ni Eng Chambo ambaye ndiye alikuwepo Aug last year wakati Paul Chizi anapewa nafasi ya kukaimu u-CEO wa ATCL.
  6. ATCL kulaumiwa kulipa deni la Ultimate Security above $0.9m wakati kesi iliamuliwa na mahakama ya biashara Mar 2011 ambapo uongozi huu haukuwepo madarakani, ATCL hakuwa na pesa na hivyo serikali kupitia barua ya Eng Chambo kucommit kulipa deni ambalo hata hivyo kila wakiandikiwa barua wanapotezea kwa zaidi ya mwaka. Matokeo last week ATCL amepata mpunga wa malipo ya bima ya ndege iliyotembelea tumbo Kigoma, mdeni akawahi mahakamani na kuleta zuio la hela benki (garnishee nisi) na tumezuia pesa ambapo ATCL amerejea mahakamani kuomba kesi itizamwe upya na kukubaliana payment plan, yet wanasemwa kuwa wametumbua pesa.
Tunabaki tunakurupuka kama kawaida yetu na kuishia kuwaonyesha watanzania kwamba kukosoa kumbe ni rahisi kuliko kuongoza. Tunaishi kwa majungu na utafutaji wa njia za mkato wa kupata umaarufu kwa wananchi.


Natamani kama ningeyasema haya ana kwa ana badala ya kuyaandika. Lakini naona mazingira hayaruhusu. Binafsi nimefuatilia hili sakata toka early last week, nimeketi na watendaji wakuu wa ATCL, Wizara na mpaka juzi waziri na naibu wake. Ajabu sana, narudia tena ajabu sana uvumi kwamba nia ni kumg’oa Chizi ili awekwe ndugu wa mh toka nyumbani kwetu Mbeya nilikuwa nayo toka 28 May 2012. Mwisho wa siku ndicho kilichotokea.

Stanbic ndo sole banker wa ATCL, sasa mtu anaposema kuna fedha zimefunjwa wakati ATCL hajawahi kuwa na hela ndani ukiachilia ka-OD kadogo ambako tuliwapa ili waweze kuwa wanalipia mafuta PUMA Energy, maelekezo ya kulipa tumekuwa tunafanya wenyewe hapa ndani, pesa pekee walopata mwezi May ni ya mshahara toka serikalini few millions. Then mtu anasema wamefuja?!?

Unless mtu anambie kuna pesa ATCL alikuwa anapelekewa cash na serikali pale ofisini kwao, kitu ambacho ni non sense.Wadau,

==> Si maneno yangu wana jamvi, bali ni maneno ya mdau wa karibu wa Stanbic<===
 
We are all above the surface, but what is below the surface?, Nobody knows except Chambo, Mwakyembe, Chizi,etc.
 
Haya yote ni majungu tu. ukitaka kupata ukweli subiri uchunguzi ufanyike.
Kwanza nikufahamishe tu kipindi kile nilikuwa na P. Chizi pale community mimi nikiwa Mwanza. Na mpinzani wetu mkubwa alikuwa PW tukafikiri nguvu ya pesa na matangazo ya bure yangetusaidia. Wapi bwana!! nafikiri ni zaidi ya hapo. Wenzangu wa sahara walikuwa kila saa hewani kuhakikisha kila mtu anafikiwa na taarifa zetu.
Unajua biashara ya usafiri wa anga sio kama wengi wetu mnavyodhania.
Unapozungumzia aviation MBA zipo 5 ungejiuliza hao wengine wapo wapi? Najua wengi waliosomeshwa na Precision huko ufaransa. Kama unakumbuka uzindizi wa ndege za PW yule balozi mfaransa alisema hilo. Hivyo huko PW zitakuwa zipo nyingi tu. nakumbuka kikao cha mwisho nikiwa community kipindi hicho mafuta hayakuwa ghali kama sasa, kile kikao tuligundua kila tuliporusha ile ndege tulitengeneza hasara ya kama milioni nane hivi. Ikaonekana ni busara kupunguza kuruka kumbe ndio tunajimaliza.
Kwa ujumla tuache ushabiki manake mtakapoletewa hati ya madai(invoice) za ndege utashangaa ni mamilioni tu.
Niwape mfano mdogo tu:
ndege ya ATC inabeba abiria 100. Kwa nauli mlizosema za 199,000 kwenda mwanza na kurudi ni (100 X 2) X 199,000 unapata kama 39,800,800.(angalizo hapo viti vyote viwe na abiria).
Mafuta kwenda na kurudi ni kama 10,000usd. kwenda na kurudi ni masaa matatu(1700 X 3) =5100usd. huduma ardhini 1000usd. ukijumlisha unapata usd 16100. hii ni sawa na (16100 x 1600) tzs 25,760,000/-
Hapo utaona tofauti ni kama milioni 14. ukitoa kodi za serikali karibia (62,000 X 200) ni sawa na milioni 12.6.
Sasa hapo hujazungumzia hoteli ya hao wahudumu, usafiri, mishahara, gharama za kutumia airport, kupaki ndege, na mengine mengi.
Kuna biashara hapo???
Tuache kukurupuka tujenge hoja kuona nini kifanyike tuwe na international airline ambayo italeta abiria hapa wa kutosha ili tufaidike kwa njia nyingine lakini sio hii ya sasa.
napita tu wandugu, ngoja niwahi mwaloni.

Watanzania tunakurupuka sana. Ngoja 2015 January.
 
Wadau,

Nasikitika kwamba badala ya mimi kushangilia maamuzi ya waziri, kwa hili naomba nionyeshe masikitiko yangu makubwa hasa kwa mtu muelewa kama Dr Mwakyembe. Alichokifanya mh huyu ndo yale yale ambayo yalilalamikiwa nab w Lowasa wakati ule, maamuzi ambayo hayatokani na utafiti bali mujungu na kutafuta kuonekana kutenda hata kama unafanya madudu.


  1. ATCL kwa mara ya kwanza mefanikiwa kupata ndege ya kukodi kwa bei chini ya wastani wa bei ya soko (block hour rate below market standard) ambayo kama nakumbuka vema ni USD 1,700 wakati soko liko USD 2,400
  2. Kwenye mkataba huu ambao wakubwa wanasikitika kupigwa chenga ya mkataba ambayo kwa kawaida ndiyo sehemu ya ulaji wa wakubwa wetu, umeondoa yale mazoea ya kulipa kishika uchumba (down/advance payment) ambayo nayo huwa inachakachuliwa na wakubwa. Badala yake hii ya sasa ni kulipa kutokana na matumizi based on block hour usage
  3. Market penetration yao ambayo return ticket ya KIA ni tzs 199k (against 340k ya PW) na Mwanza tzs 199k (tzs 420 ya PW) ambayo kwa wale wanaotumiwa na wazito wa PW, wameona ATCL ni threat at least kwa hizo routes mbili.
  4. Majungu kwamba ATCL management amepokea hela nyingi na kuzifuja during month of May ambapo mpaka waziri na naibu wake walinitembelea hapa J3 asubuhi na kuwapa ukweli bayana (as we are the only banker of ATCL) and yet wamekwenda kufanyia kazi fitna na mujungu
  5. Paul Chizi ambaye alikuwa sourced from Community Air, being of less than 5 Tanzanians who pocess an MBA in Aviation, leo mnasema vifungu vilikiukwa na ukweli unafahamika mtendaji mkuu wa wizara ni katibu mkuu…So, wa kuwajibika ni Eng Chambo ambaye ndiye alikuwepo Aug last year wakati Paul Chizi anapewa nafasi ya kukaimu u-CEO wa ATCL.
  6. ATCL kulaumiwa kulipa deni la Ultimate Security above $0.9m wakati kesi iliamuliwa na mahakama ya biashara Mar 2011 ambapo uongozi huu haukuwepo madarakani, ATCL hakuwa na pesa na hivyo serikali kupitia barua ya Eng Chambo kucommit kulipa deni ambalo hata hivyo kila wakiandikiwa barua wanapotezea kwa zaidi ya mwaka. Matokeo last week ATCL amepata mpunga wa malipo ya bima ya ndege iliyotembelea tumbo Kigoma, mdeni akawahi mahakamani na kuleta zuio la hela benki (garnishee nisi) na tumezuia pesa ambapo ATCL amerejea mahakamani kuomba kesi itizamwe upya na kukubaliana payment plan, yet wanasemwa kuwa wametumbua pesa.
Tunabaki tunakurupuka kama kawaida yetu na kuishia kuwaonyesha watanzania kwamba kukosoa kumbe ni rahisi kuliko kuongoza. Tunaishi kwa majungu na utafutaji wa njia za mkato wa kupata umaarufu kwa wananchi.


Natamani kama ningeyasema haya ana kwa ana badala ya kuyaandika. Lakini naona mazingira hayaruhusu. Binafsi nimefuatilia hili sakata toka early last week, nimeketi na watendaji wakuu wa ATCL, Wizara na mpaka juzi waziri na naibu wake. Ajabu sana, narudia tena ajabu sana uvumi kwamba nia ni kumg’oa Chizi ili awekwe ndugu wa mh toka nyumbani kwetu Mbeya nilikuwa nayo toka 28 May 2012. Mwisho wa siku ndicho kilichotokea.

Stanbic ndo sole banker wa ATCL, sasa mtu anaposema kuna fedha zimefunjwa wakati ATCL hajawahi kuwa na hela ndani ukiachilia ka-OD kadogo ambako tuliwapa ili waweze kuwa wanalipia mafuta PUMA Energy, maelekezo ya kulipa tumekuwa tunafanya wenyewe hapa ndani, pesa pekee walopata mwezi May ni ya mshahara toka serikalini few millions. Then mtu anasema wamefuja?!?

Unless mtu anambie kuna pesa ATCL alikuwa anapelekewa cash na serikali pale ofisini kwao, kitu ambacho ni non sense.Wadau,

==> Si maneno yangu wana jamvi, bali ni maneno ya mdau wa karibu wa Stanbic<===

ATCL imekua na story kwa muda mrefu na hakuna maendeleo either kwa sababu ya group au individual, kinachotakiwa ni maendeleo na sio muhimu nani atakuwepo madarakani akiwa chizi au yoyote. Mpaka leo Tanzania tunazungumzia ndege ya kukodisha hivyo ndio vipori vya ufisadi hatuna muda tena wa no sense. Tunachotaka ni kuona maendeleo mpeni nafasi waziri mpya afanye kazi yake. Muhimu ni kua hakuridhishwa na uongozi uliopo either kwa majungu au njia yoyote sio muhimu, tunataka maendeleo!
 
hayo ni maneno yako. Mwakyembe alicho sema ni kwamba "ajira yake haikufuata taratibu za kuajiriwa" anaweza akawa amefanya mengi lakini mwakyembe anacho taka ni kufuatwa kwa taratibu za ajira.
Unaweza ukawa unajua kuendesha gali vizuri lakini kama hauna leseni trafiki lazima akukamate.

Hizi taratibu zenu ndo zinazokwamisha maendeleo, kwa kufuata taratibu zenu za kikiritimba, uzembe, kujuana, kubebana tupo tulipo leo. Kama taratibu ndo maendeleo TZ ingekuwa kama SA leo. Taratibu kama hizo ndo zilizompa rais madaraka ya kuchagua waziri, naibu wake, PS, na wakurungezi kwenye wizara to the extent hakuna uwajibikaji.

Kimsingi utaratibu unaokwamisha ama kuchelewesha maendeleo ni upuuzi mtupu. Kama Mwakyembe anania ya dhati ya kufufua ATCL, na kama huyo Paul Chizi anauwezo wa kiutendaji usioshaka, angeweza ketengua uteuzi na kumteua tena katika full capacity ndani ya kipindi kifupi ikiwezekana kesho yake tu.

Kufuata sheria pasipo busara kunaweza kutafsirika kama ujinga pia
 
utendaji kazi wa mwakyembe huwa umejaa fitna sana...........na hiyo wizara haifikishi salama 2015..........
 
Tanzania is like a Tom & Gery Cartoon; Which is priority to a company which is almost dead, a person who will make it become alive once again, or a person who has gone through recruitment process.... Are we real for result or for process.... we are measuring means to the end or the end itself.

Ningemhesimu sana Mh. Waziri kama ameona huyo KAIMU kama kweli hawezi kazi ndio aseme by the way recruitment process was not followed... lakini kama anaweza then what? Hata hivyo nauliza is there any recruitment process to recruit acting person/KAIMU...
 
Wadau, Nasikitika kwamba badala ya mimi kushangilia maamuzi ya waziri, kwa hili naomba nionyeshe masikitiko yangu makubwa hasa kwa mtu muelewa kama Dr Mwakyembe. Alichokifanya mh huyu ndo yale yale ambayo yalilalamikiwa nab w Lowasa wakati ule, maamuzi ambayo hayatokani na utafiti bali mujungu na kutafuta kuonekana kutenda hata kama unafanya madudu.
  1. ATCL kwa mara ya kwanza mefanikiwa kupata ndege ya kukodi kwa bei chini ya wastani wa bei ya soko (block hour rate below market standard) ambayo kama nakumbuka vema ni USD 1,700 wakati soko liko USD 2,400
  2. Kwenye mkataba huu ambao wakubwa wanasikitika kupigwa chenga ya mkataba ambayo kwa kawaida ndiyo sehemu ya ulaji wa wakubwa wetu, umeondoa yale mazoea ya kulipa kishika uchumba (down/advance payment) ambayo nayo huwa inachakachuliwa na wakubwa. Badala yake hii ya sasa ni kulipa kutokana na matumizi based on block hour usage
  3. Market penetration yao ambayo return ticket ya KIA ni tzs 199k (against 340k ya PW) na Mwanza tzs 199k (tzs 420 ya PW) ambayo kwa wale wanaotumiwa na wazito wa PW, wameona ATCL ni threat at least kwa hizo routes mbili.
  4. Majungu kwamba ATCL management amepokea hela nyingi na kuzifuja during month of May ambapo mpaka waziri na naibu wake walinitembelea hapa J3 asubuhi na kuwapa ukweli bayana (as we are the only banker of ATCL) and yet wamekwenda kufanyia kazi fitna na mujungu
  5. Paul Chizi ambaye alikuwa sourced from Community Air, being of less than 5 Tanzanians who pocess an MBA in Aviation, leo mnasema vifungu vilikiukwa na ukweli unafahamika mtendaji mkuu wa wizara ni katibu mkuu…So, wa kuwajibika ni Eng Chambo ambaye ndiye alikuwepo Aug last year wakati Paul Chizi anapewa nafasi ya kukaimu u-CEO wa ATCL.
  6. ATCL kulaumiwa kulipa deni la Ultimate Security above $0.9m wakati kesi iliamuliwa na mahakama ya biashara Mar 2011 ambapo uongozi huu haukuwepo madarakani, ATCL hakuwa na pesa na hivyo serikali kupitia barua ya Eng Chambo kucommit kulipa deni ambalo hata hivyo kila wakiandikiwa barua wanapotezea kwa zaidi ya mwaka. Matokeo last week ATCL amepata mpunga wa malipo ya bima ya ndege iliyotembelea tumbo Kigoma, mdeni akawahi mahakamani na kuleta zuio la hela benki (garnishee nisi) na tumezuia pesa ambapo ATCL amerejea mahakamani kuomba kesi itizamwe upya na kukubaliana payment plan, yet wanasemwa kuwa wametumbua pesa.
Tunabaki tunakurupuka kama kawaida yetu na kuishia kuwaonyesha watanzania kwamba kukosoa kumbe ni rahisi kuliko kuongoza. Tunaishi kwa majungu na utafutaji wa njia za mkato wa kupata umaarufu kwa wananchi. Natamani kama ningeyasema haya ana kwa ana badala ya kuyaandika. Lakini naona mazingira hayaruhusu. Binafsi nimefuatilia hili sakata toka early last week, nimeketi na watendaji wakuu wa ATCL, Wizara na mpaka juzi waziri na naibu wake. Ajabu sana, narudia tena ajabu sana uvumi kwamba nia ni kumg’oa Chizi ili awekwe ndugu wa mh toka nyumbani kwetu Mbeya nilikuwa nayo toka 28 May 2012. Mwisho wa siku ndicho kilichotokea. Stanbic ndo sole banker wa ATCL, sasa mtu anaposema kuna fedha zimefunjwa wakati ATCL hajawahi kuwa na hela ndani ukiachilia ka-OD kadogo ambako tuliwapa ili waweze kuwa wanalipia mafuta PUMA Energy, maelekezo ya kulipa tumekuwa tunafanya wenyewe hapa ndani, pesa pekee walopata mwezi May ni ya mshahara toka serikalini few millions. Then mtu anasema wamefuja?!? Unless mtu anambie kuna pesa ATCL alikuwa anapelekewa cash na serikali pale ofisini kwao, kitu ambacho ni non sense.Wadau, ==> Si maneno yangu wana jamvi, bali ni maneno ya mdau wa karibu wa Stanbic
 
Wewe ndiye unakurupuka! Nam-support Mwakyembe alichokifanya, acha uchunguzi ufanyike then tutajua. Hata hivyo aliyesimamishwa siyo Paul Chizi peke yake. Muda ukifika ukweli utaonekana kwani haki ya mtu huwa haipotei.
 
Ma bankers wa bongo hao. Upande mmoja nakuwa kama siwezi kuamini kwamba banker anayeijua kazi yake anaweza kuandika hivi.

Upande mwingine bongo anything is possible, why, Kikwete kawa rais.
 
Mleta mada jitahidi kufatilia habari kwa undani kuliko kuleta lawama zisizo na hoja.

Uteuzi wa Chizi haukufata kuwa kaimu haukufata sheria ya utumishi wa umma na hicho ndo kilichotenguliwa na wala si kwa ufisadi. Haina maana kama tunachagua viongozi walinde sheria na waache mambo yaende ndivyo sivyo eti tu kuna uzalendo.

Subiri utaratibu ufuatwe then atakuwa CEO na wala sio kaimu.

Tukiishi kwa njia hii hatutafika mbali kimaendeleo.
Watanzania mlivyo wapumbavu nawaona live kuwa umaskinii huu wa nchi yetu sio bahati mbaya kabisa. Ni sababu ya bongolala. Mnadharau credentials za Paul Chizi katika mambo ya aviation?? Nahisi mkija kuanzisha kijikampuni cha computer halafu Bill Gates na Michael S Dell waonyeshe nia ya kuajiriwa mtataka wafanyiwe interview kwanza kufuata sheria ya kuwashindanisha na wengine ili waajiriwe kihalali wakati hao ndio nguli wa hiyo sekta, na kama Dell akitokea kuajiriwa bila kufuata sheria mtamuondoa na kuweka binamu zenu...
 
Back
Top Bottom