Aisee biashara ya ndege si mchezo, hawa ATCL nionavyo hawatadumu kama wasipobadilisha namna ya biashara yao. Angalau basi wangekuwa na nauli bei nafuu lakini wapi! DOM-DAR 165,000/= wakati Fastjet MWZ-DAR (79,000/=) ukiweka na mzigo 101,000/=. Daah, nndivyo tulivyoshauriwa na wanyarwanda?