SSH2025_2030
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 9,661
- 9,753
Unakaa na tiketi miezi 6 ya nn? unawaachia airline hela miezi 6 (mambo ya dharura unayapigia hesabu?) anyway bado Fastjet anaongoza TZ. Pamoja na figisu figisu za hapa na pale.Ila ticket ya ATCL ipo valid kwa 6 months (ukiangalia bei utaona fastjet bei nafuu lakini hakuna cancellation na hata kama wataruhusu itabidi uongezee kulingana na bei ya siku hiyo.