lukindo
JF-Expert Member
- Mar 20, 2010
- 8,470
- 9,053
Precision sijui kama wanaenda Dom labda wakikodishwa kumbeba Lema au Mbowe kwenda Igunga!Panda precision boss
Precision sijui kama wanaenda Dom labda wakikodishwa kumbeba Lema au Mbowe kwenda Igunga!Panda precision boss
Kimsingi Kigoma ina wateja ukilinganisha na Dodoma, nadhani hiyo stop ya Dodoma ni kama ku-introduce route kama kupiga amshaamsha (wameona gharama ya kuirudisha ndege Dar itakuwa tupu hivyo kwa kuwa Kigoma kuna abiria nadhani ikabidi hiyo route wai-link na Dodoma ili wakirudi Dar warudi na abiria wa kutosha kutoka Kigoma). Hapo tu ni kama ile route ya zamani ya Dar - Mwanza kupitia Kilimanjaro wakati huo huo kuna route nyingine ya moja kwa moja ya Dar - MwanzaSasa Kigoma wanaenda kutafuta nn?
Tanzania inaishia Dar?Sasa Kigoma wanaenda kutafuta nn?
Amsha Amsha ni kupiga promo kwenye media pamoja na kutoa offer za kutosha.Kimsingi Kigoma ina wateja ukilinganisha na Dodoma, nadhani hiyo stop ya Dodoma ni kama ku-introduce route kama kupiga amshaamsha (wameona gharama ya kuirudisha ndege Dar itakuwa tupu hivyo kwa kuwa Kigoma kuna abiria nadhani ikabidi hiyo route wai-link na Dodoma ili wakirudi Dar warudi na abiria wa kutosha kutoka Kigoma). Hapo tu ni kama ile route ya zamani ya Dar - Mwanza kupitia Kilimanjaro wakati huo huo kuna route nyingine ya moja kwa moja ya Dar - Mwanza
SawaAmsha Amsha ni kupiga promo kwenye media pamoja na kutoa offer za kutosha.
ATC hawashindwi kuongeza hiyo Tabora na ChattLe kabla ya Kigoma.Wakianza shuka na Tabora, ndio utachoka, itakua Dom-Tabora-Kigoma-Dar, unaingi dar saa 7 mchana
Bura kupanda kibinyiko au shabibDodoma abiria wapo wa kutosha, tatizo ni hizo ratiba za ajabu na nauri isiyoeleweka. Abiria anaona bora apande basi kuliko ndege inayochukua masaa matano kufika
Ndugu tuseme KIMBINYIKO ni bora kuliko Ndege yetu pendwa?Bura kupanda kibinyiko au shabib